The Prezident
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 459
- 176
Hivi shida iko wapi? Milioni 100 na Escrow ni Milioni ngapi .. Linganisha na Hasira Kali ya wananchi ..Na hatua wanazochukua ...Dunia Hii Haka ....
Wauawe tu, maana tumechoka kuibiwa na serikali ya ccm. Tuibiwe na ccm halafu tuibiwe na majambazi? This's too much.
Mullion 100 wanauwawa wa billion mia tatu tunatesa nao mtaani tz nchi ya ajabu sana
Tatizo mafisadi wanalindwa na nchi nzima lakini nina uhakika wa zaidi ya 50% hao mafisadi wakijichanganya mazingira ambayo hawapati huo ulinzi tungekuwa tushawapa jina lile jingine kitambo