Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,008
- 54,277
Leo Rais Wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongoza Viongozi wa Juu wa Serikali
Kuchanjwa Chanjo ya COVID 19 Aina ya Johnson And Johnson
Sasa huko Tanga wanafunzi wamekimbia Shule Hasa Hasa Wakihofia Kuchanjwa, huku wazazi wakiwaambia wasije kuchanjwa maana
wataambukiza wengine kwa haraka sana!
Mwalim alipoulizwa anasema hali tete sana
Wanafunzi Na Watanzania Wapate Elimu
CHANZO: TBC
Kuchanjwa Chanjo ya COVID 19 Aina ya Johnson And Johnson
Sasa huko Tanga wanafunzi wamekimbia Shule Hasa Hasa Wakihofia Kuchanjwa, huku wazazi wakiwaambia wasije kuchanjwa maana
wataambukiza wengine kwa haraka sana!
Mwalim alipoulizwa anasema hali tete sana
Wanafunzi Na Watanzania Wapate Elimu
CHANZO: TBC