Tanga: Polisi wazuia msafara wa Prof. Lipumba wakidai hawana taarifa na msafara huo

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,442
3,353
Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba amezuiliwa wilayani Mkinga mkoani Tanga, kwa kufanya msafara bila kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi.

Lipumba amewasili mkoani humo leo, Januari 20, 2020 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya kuzugumza na Wananchama na viongozi wa CUF ambapo alikutana na katazo hilo la polisi.

Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi wameeleza Lipumba na wenzake hawakutoa taarifa juu ya ujio wa msafara wao Wilayani humo.
 
Duh!
Ukute Profu. alikuwa na nyomi ya watu kwenye msafara wake!
IMG-20200120-WA0001.jpg
IMG-20200120-WA0000.jpg
 
Toilet paper ikishatumika huwezi kuitumia tena kwa sababu inakuwa imeshajaa kinyesi.

Ni hatari sana aisee...!
 
Back
Top Bottom