Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 753
- 1,881
nyie wana chattle mna mtindio wa ubongo!!!JPM Baba tusamehe
nyie wana chattle mna mtindio wa ubongo!!!JPM Baba tusamehe
Wapi huko jamani mbona hivyo kila kukicha mauaji!Hatari sana, mitaa yetu Dogo wa darasa la 3 kamuua Binti wa darasa la 3 kwa kumchoma peni tumboni, wamezika leo
Kwani walioko magerezani ni watoto wa wanyama?Hakuna sheria ya kumweka mtoto mbaroni chini ya miaka 12. Huyo hana hatia yoyote
Kisauke Primary School, Mivumoni
Mivumoni ya huku kati ya tegeta Goba ?Kisauke Primary School, Mivumoni
Ni kweli Mkuu Lipo Irambo, wilaya ya Mbeya vijijini. Linaitwa Shule ya Maadilisho Irambo.
Chukua hiyoKwa wajuzi wa sheria huyo dogo ikithibitika kaua kweli ni adhabu gani anaweza kupewa kwa umri huo??
Eeeh hiyo hiyo
"Tusamehe"? We na nani?
Kivipi?
nyie wana chattle mna mtindio wa ubongo!!!
Rot in hell,JPM!
Hujachelewa Nenda Chato ukazikwe naye
Una laana akusamehe nini umemgeuza ndiyo mungu wako
Ulikuwa unataka likes?
Tabia za kufundisha watoto mapanga na carate kwenye nyumba za ibada,haya ndio matokeo.Jeshi la polisi mkoani Tanga linamshilikia mtoto wa miaka (9) mkazi wa mji mpya Hale na mwanafunzi wa shule ya msingi kichangani darasa la tatu iliopo wilayani Korogwe mkoani Tanga Kwa kosa la mauwaji ya Ally khalifa Bakari (9) mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Kichangani mkazi wa Msalo Hale.
Akizungumza na TBC kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Safia Jongo amesema mauwaji hayo yametokea majira ya saa nane January 28 mara baada ya wanafunzi hao kutoka msikitini.
Amesema tayari maafisa wa polisi wakiongozwa na mkuu wa upelelezi wilayani Korogwe wamefika katika eneo la tukio kwa uchunguzi zaidi.
Kamanda Jongo amesema mwili wa marehemu umekutwa na majeraha mengi sehemu mbalimbali hivyo uchunguzi wa kina unaendelea ili kubaini kama tukio hilo limefanywa na mwanafunzi huyo pekee.
Kwa upande wake Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kichangani Riziki Selungato yeye anasema watoto hao waliruhusiwa muda wa saa sita na robo mchana ili waende msikiti kuswali wote wakiwa salama.
Hatari sana, mitaa yetu Dogo wa darasa la 3 kamuua Binti wa darasa la 3 kwa kumchoma peni tumboni, wamezika leo
Enzi zetu za Israel ya zamani... Vitoto vya ivo vilikua vinachomwa moto hadi kufaHatari sana, mitaa yetu Dogo wa darasa la 3 kamuua Binti wa darasa la 3 kwa kumchoma peni tumboni, wamezika leo
Kajinyonga au kauwawa? Dekio linafanya nini mahabusu, si wawape na visu na wembe na petroli kabisa. Halafu alikuwa pekeyake humo mahabusu?!huu mwaka umeanza kwa kasi sana na matukio kila leo likitoka hili linakuja lingine
La polisi aliyejinyonga kwa dekio bado halijapoa limekuja lingine dah