Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,173
- 1,092
Una laana akusamehe nini umemgeuza ndiyo mungu wako
JPM Baba tusamehe
JPM Baba tusamehe
SadHatari sana, mitaa yetu Dogo wa darasa la 3 kamuua Binti wa darasa la 3 kwa kumchoma peni tumboni, wamezika leo
Mkuu kama unawashwa kakunwe
Ulikuwa unataka likes?JPM Baba tusamehe
Kuna juvenile detention. Ni kama gereza lakini ni kwaajili ya kwenda kumfunza tabia njema. Hawezi kufungwa jela.Kwa wajuzi wa sheria huyo dogo ikithibitika kaua kweli ni adhabu gani anaweza kupewa kwa umri huo??
Nasikia mbeya IPO, keko ipo!Kuna juvenile detention. Ni kama gereza lakini ni kwaajili ya kwenda kumfunza tabia njema. Hawezi kufungwa jela.
Hata Arusha nafahamu ipo Unga Limited karibu na NMC.
12 ni kubaka, kasome upya.Hakuna sheria ya kumweka mtoto mbaroni chini ya miaka 12. Huyo hana hatia yoyote
"Tusamehe"? We na nani?JPM Baba tusamehe
Je huko atapata huduma muhimu kama elimu, chakula bora kama watoto wengine.Kuna juvenile detention. Ni kama gereza lakini ni kwaajili ya kwenda kumfunza tabia njema. Hawezi kufungwa jela.
Mmmh huku najnilinji mume kamkatakata mkewe na mapanga kisa kapoteza simu ya elfu 20000Hatari sana, mitaa yetu Dogo wa darasa la 3 kamuua Binti wa darasa la 3 kwa kumchoma peni tumboni, wamezika leo
JPM Baba tusamehe