Yaani huyu mganga wa kienyeji ndio mweka hazina Lol ni noma kweli Tanga hakuna watu
Mentality yao mwenye fedha ndo anaweza kutunza fedha labda.
Katika Tanzania yenye watu wavivu wa kufikiri,waoga na wasiopenda kubadilika ni Tanga.si majimarefu tu,bali hata huyo shekifu ni kioja mtupu.poleni sana enyi watu wa Tanga moja ya mikoa ya jamii inayothamini kitu kidogo(rushwa).
Shekifu ni mbunge na mkuu wa mkoa Manyara.
Kuna kila dalili kwamba ukiwa kiongozi wa chama ndani ya CCM ni mtaji wa ukweli kuliko hata uwaziri.....
Aliwahi kuwa mkuu wa mkoa huo lakini kwa sasa sio mkuu wa mkoaShekifu ni mbunge na mkuu wa mkoa Manyara......
Shekifu ni mbunge na mkuu wa mkoa Manyara.
Kuna kila dalili kwamba ukiwa kiongozi wa chama ndani ya CCM ni mtaji wa ukweli kuliko hata uwaziri.....
Yaani huyu mganga wa kienyeji ndio mweka hazina Lol ni noma kweli Tanga hakuna watu
Shekifu ni mbunge na mkuu wa mkoa Manyara.
Kuna kila dalili kwamba ukiwa kiongozi wa chama ndani ya CCM ni mtaji wa ukweli kuliko hata uwaziri.....
Mimi advance nlsoma lushto lwandai kkt kusema kwel tanga co siri wananchi wake wavivu kufikiria hv huyo shekifu lushoto amefanya nini cha maana cha kumchagua hcho cheo hafu cha ajabu m2 ambaye alkimbia shule primary eti mtunza fedha jaman haya maajabu gan tena!!