mgunda1990
Member
- Jul 19, 2012
- 73
- 4
wapendwa kwa yeyote aliopo halmashaur ya wilaya ya kibaha, anaetaka kuja lushoto,nazungumzia mwalimu tuwasiliane,mimi ni mwl.wa shule ya sekondar jina lushoto,nahtaj kubadilishana na mtu kutoka halmashaur ya kibaha..