Tanga Kunani....??!

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Niko Mji tajwa hapo juu ki-wajibu zaidihadi Ijumaa... ila ningefurahi kama ningekutana na walau Mwana JF 1 kwa wakati 'mwepesi'!!!

Tanga Kunaniiiiii....?!:evil:
 
Niko Mji tajwa hapo juu ki-wajibu zaidihadi Ijumaa... ila ningefurahi kama ningekutana na walau Mwana JF 1 kwa wakati 'mwepesi'!!!

Tanga Kunaniiiiii....?!:evil:
aah TANGA shwari tuuu....kumepoa kama maji ya mtungini...:israel::israel:
 
Niko Mji tajwa hapo juu ki-wajibu zaidihadi Ijumaa... ila ningefurahi kama ningekutana na walau Mwana JF 1 kwa wakati 'mwepesi'!!!

Tanga Kunaniiiiii....?!:evil:



Mkuu umeaga lakini ulipotoka maana sifa zao hao tunazisikia tu,isijekuwa ijumaa ikawa this time next year!!!!:laugh::laugh::laugh::focus:
 
nenda apo barabara ya 8 simama km dk 10 .angalia upande wa mashariki uku umeshika kitunguu na uwe unarusha karanga kwa mkono wa kushoto then utaona kwa mbaaaaaaaaaali mwana mwali anakuja akikwambia twend uku we kataa akija wa pili akikwambia karibu tanga basi we neda mfate tu haina shda.bt make sure ushagawa urith woote kwa watoto wako na ushaaga ndg na jamaa bila kusahau jf!
tanga njema:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:!!!!!
 
Mkuu umeaga lakini ulipotoka maana sifa zao hao tunazisikia tu,isijekuwa ijumaa ikawa this time next year!!!!:laugh::laugh::laugh::focus:

Mkuu mie wa bara kweli... nateleza kuliko tope... wote wliojaribu wamedunda...!! uzoefu wa pwani ninao.:smile-big:
 
nenda apo barabara ya 8 simama km dk 10 .angalia upande wa mashariki uku umeshika kitunguu na uwe unarusha karanga kwa mkono wa kushoto then utaona kwa mbaaaaaaaaaali mwana mwali anakuja akikwambia twend uku we kataa akija wa pili akikwambia karibu tanga basi we neda mfate tu haina shda.bt make sure ushagawa urith woote kwa watoto wako na ushaaga ndg na jamaa bila kusahau jf!
tanga njema:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:!!!!!

Nitalifanyia kazi hilo baada ya kiumaliza shughuli ilonileta Rose... nashukuru kwa ka-mbinu kapa ka kuopoa... mengine yote yatashindwa kwa hisani ya wana JF. Kuhusu kuaga...nnatisha kuliko kipindupindu!!:smile-big::smile-big:
 
Nitalifanyia kazi hilo baada ya kiumaliza shughuli ilonileta Rose... nashukuru kwa ka-mbinu kapa ka kuopoa... mengine yote yatashindwa kwa hisani ya wana JF. Kuhusu kuaga...nnatisha kuliko kipindupindu!!:smile-big::smile-big:

hahaha hahah!!
aya bwana!
usisahau kunibebea hina ya mombasa jaman ...sawa:smile::smile-big:????
 
rose usimtishe mwenzio mwache akamuamkiee babu hujui kama huyu mtorooo:hand:...
nenda apo barabara ya 8 simama km dk 10 .angalia upande wa mashariki uku umeshika kitunguu na uwe unarusha karanga kwa mkono wa kushoto then utaona kwa mbaaaaaaaaaali mwana mwali anakuja akikwambia twend uku we kataa akija wa pili akikwambia karibu tanga basi we neda mfate tu haina shda.bt make sure ushagawa urith woote kwa watoto wako na ushaaga ndg na jamaa bila kusahau jf!
tanga njema:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:!!!!!
 
rose usimtishe mwenzio mwache akamuamkiee babu hujui kama huyu mtorooo:hand:...

Infwact sijaijuti safwari yangu.... na nahc maoni ya Paka M yalikuwa na ka ukweeeeeli... Karibuni Lakassa Chika...:wave:
 
Back
Top Bottom