aah TANGA shwari tuuu....kumepoa kama maji ya mtungini...:israel::israel:Niko Mji tajwa hapo juu ki-wajibu zaidihadi Ijumaa... ila ningefurahi kama ningekutana na walau Mwana JF 1 kwa wakati 'mwepesi'!!!
Tanga Kunaniiiiii....?!:evil:
Niko Mji tajwa hapo juu ki-wajibu zaidihadi Ijumaa... ila ningefurahi kama ningekutana na walau Mwana JF 1 kwa wakati 'mwepesi'!!!
Tanga Kunaniiiiii....?!:evil:
Mkuu umeaga lakini ulipotoka maana sifa zao hao tunazisikia tu,isijekuwa ijumaa ikawa this time next year!!!!:laugh::laugh::laugh::focus:
nenda apo barabara ya 8 simama km dk 10 .angalia upande wa mashariki uku umeshika kitunguu na uwe unarusha karanga kwa mkono wa kushoto then utaona kwa mbaaaaaaaaaali mwana mwali anakuja akikwambia twend uku we kataa akija wa pili akikwambia karibu tanga basi we neda mfate tu haina shda.bt make sure ushagawa urith woote kwa watoto wako na ushaaga ndg na jamaa bila kusahau jf!
tanga njema:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:!!!!!
Nitalifanyia kazi hilo baada ya kiumaliza shughuli ilonileta Rose... nashukuru kwa ka-mbinu kapa ka kuopoa... mengine yote yatashindwa kwa hisani ya wana JF. Kuhusu kuaga...nnatisha kuliko kipindupindu!!:smile-big::smile-big:
nimepaona.... Salaam Aleykhum kila kona....!!
nenda apo barabara ya 8 simama km dk 10 .angalia upande wa mashariki uku umeshika kitunguu na uwe unarusha karanga kwa mkono wa kushoto then utaona kwa mbaaaaaaaaaali mwana mwali anakuja akikwambia twend uku we kataa akija wa pili akikwambia karibu tanga basi we neda mfate tu haina shda.bt make sure ushagawa urith woote kwa watoto wako na ushaaga ndg na jamaa bila kusahau jf!
tanga njema:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:!!!!!