emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 542
Wandugu za wikend,sasa ni wakati wa watu wa tanga FULSA zimekuja kwa ujio wa Bomba LA mafuta LA kutoka Uganda,kwa hiyo nawaomba wale wanamuziki Wagosi wa kaya waufanye Remix ule wimbo wa kunani pale Tanga mbona kila kitu kimekufa, nitawashukuru sana!!!!!!!!