haujaona bangi apo?wachome moto kama wanavyofanya bangi na nyavu za kuvulia samaki na vipodozi
Hiyo hela mjomba lazima wahifadhi kwanza.kukifuatiliwa Sana nawakubwa sawa kukitulia Kama kawa.wachome moto kama wanavyofanya bangi na nyavu za kuvulia samaki na vipodozi
sasa umenifumbua na ndio maana sijawahi ona wakichoma hayo madawa moto, sasa wanawauzia akina nani, au ndugu zetu kinondoni hukoHiyo hela mjomba lazima wahifadhi kwanza.kukifuatiliwa Sana nawakubwa sawa kukitulia Kama kawa.
Sijawahi kuonja bhangi na sitaonja ila nauliza. Kwa wale waliokwisha kuitumia. Eti ni kweli unalewa kama pombe kiasi unapepesuka. Kuongea kiingereza na kijaluo. Kujikojolea na kuvua nguo ?
Mimi nlijua mambo ya sembe kumbe sigara kali...sasa shehena ya sigara kali imejaa hku olkokola na kisimiriJeshi la Polisi Mkoani Tanga limekamata shehena ya dawa za kulevya kufuatia msako uliyofanyika kati ya Januari 1-24 mwaka huu.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga SACP Bernard Bukombe.
View attachment 683552 View attachment 683553 View attachment 683554 View attachment 683551
Acha uduanzi arifu!Mimi nlijua mambo ya sembe kumbe sigara kali...sasa shehena ya sigara kali imejaa hku olkokola na kisimiri