Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,281
- 53,246
Mvua Zinazoendele Kunyesha Mikoa Ya Kaskazini Mwa Tanzania, Zimesababisha Eneo La Mandela Hasa Barabarani Umbali Wa Mita 60 Kujaa Maji Na Kusababisha Njia Hiyo Kutoonekana.
Baadhi Ya Watu Waliofanya Safari Usiku Wa Jana Wamelala Hapo Na Idadi Ya Magari Kutoka Njia Kuu Ya Tanga Kwenda Kilimanjaro Na Kilimanjaro Kwenda Tanga, Dar es salaam
Kushindwa Kuiona Vema Barabara Hasa Suala La Usalama.
Chanzo Cha Kuamini Kuna Jamaa Yangu Yupo Safari Amelala Hapo Hadi Asubuhi, Na Analazimika Kutafuta Usafiri Mwingine
Bila Shaka Kwa Eneo Hilo Magari Yatalazimika Kupitia Yanayotoka Dar es salaam
Mkata Hadi Handeni Halafu Korogwe Ili Waweze Kuendelea Na Safari Pia Wanaotoka Kilimanjaro Hivyo Hivyo
======
MAELEKEZO TOKA KWA RTO WA TANGA TAREHE 12/10/2019
Ameelekeza magari yote kutoka Chalinze. yakunje Mkata kupitia Handeni na Korogwe yapite kupitia Handeni hadi Mkata, hali ya Segere Mashine si nzuri kutokana na mvua ni hatari kwa usiku!!
#PICHA Hapa ni katika eneo la Mandera, Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo maji yamefurika na kuharibu miundombinu ya daraja. Tahadhari kwa wanaosafiri kupitia eneo hilo kuelekea Kilimanjaro, Tanga na mikoa mingine.
Baadhi Ya Watu Waliofanya Safari Usiku Wa Jana Wamelala Hapo Na Idadi Ya Magari Kutoka Njia Kuu Ya Tanga Kwenda Kilimanjaro Na Kilimanjaro Kwenda Tanga, Dar es salaam
Kushindwa Kuiona Vema Barabara Hasa Suala La Usalama.
Chanzo Cha Kuamini Kuna Jamaa Yangu Yupo Safari Amelala Hapo Hadi Asubuhi, Na Analazimika Kutafuta Usafiri Mwingine
Bila Shaka Kwa Eneo Hilo Magari Yatalazimika Kupitia Yanayotoka Dar es salaam
Mkata Hadi Handeni Halafu Korogwe Ili Waweze Kuendelea Na Safari Pia Wanaotoka Kilimanjaro Hivyo Hivyo
======
MAELEKEZO TOKA KWA RTO WA TANGA TAREHE 12/10/2019
Ameelekeza magari yote kutoka Chalinze. yakunje Mkata kupitia Handeni na Korogwe yapite kupitia Handeni hadi Mkata, hali ya Segere Mashine si nzuri kutokana na mvua ni hatari kwa usiku!!
#PICHA Hapa ni katika eneo la Mandera, Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo maji yamefurika na kuharibu miundombinu ya daraja. Tahadhari kwa wanaosafiri kupitia eneo hilo kuelekea Kilimanjaro, Tanga na mikoa mingine.