Hii ni mandera iliyopo Korogwe na sio ile uliyoitaja weweHivi Eneo la mandela mnalosema liko karibu na wapi?
Maana hata kati ya Mbwewe na daraja la mto wami nako kuna eneo la mandela kama sijakosea karibu na njiapanda ya kwenda Miono
Ngoja tusubiri tione Aweso atatuambia Nini kuhusu mgao wa majiMvua Nyingi Sana
Dumila, Mtanana