Picha tu zinaonyesha kuwa ni dalili mbaya.Natarajia itathibitishwa kuwa ajali imetokea lakini hakuna madhara makubwa yaliyotokea.
Duh zero kabisa baadhi ya watu. Sasa hapo chadema wanaingiaje badala ya kutoa pole yako na kupepea tuu. Utakuta na wewe ni kiongozi wa serikali. Kweli tuba safari ndefu sana.....My prayer to injured passengers and my sincerely condolences to families who lost their relatives and family members.
Vijana wa Chadema watataka siku 3 za Maombolezo na Bendera ipepee nusu mlingoti pia watataka Ujengwe Mnara wa Kumbukumbu na Siku kama ya Leo iwe kumbukumbu Kuwakumbuka waliokufa na ajali Tanga. They are living in different world!
Ujasikia moro lori na basi baada ya kugongana yamesababisha kifo cha mwendesha baiskeliSasa wakati umefika wa mimi kutumia baiskeli, naona may hii magari nuksi
Huyo hajielewiDuh zero kabisa baadhi ya watu. Sasa hapo chadema wanaingiaje badala ya kutoa pole yako na kupepea tuu. Utakuta na wewe ni kiongozi wa serikali. Kweli tuba safari ndefu sana.....
Siasa zitawaponza...... Siyo kila jambo lazima uhusishe na uchadema na uccm. Pooor tz!
Aha ha aaaa hakuna kwa kukwepaUjasikia moro lori na basi baada ya kugongana yamesababisha kifo cha mwendesha baiskeli
Unawashwa badoMy prayer to injured passengers and my sincerely condolences to families who lost their relatives and family members.
Vijana wa Chadema watataka siku 3 za Maombolezo na Bendera ipepee nusu mlingoti pia watataka Ujengwe Mnara wa Kumbukumbu na Siku kama ya Leo iwe kumbukumbu Kuwakumbuka waliokufa na ajali Tanga. They are living in different world!