Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Hii tabia ya Tanesco kukata umeme na kurudisha watakavyo wao kama kwamba wanatugawia bure ni dharau sana na pia sio msingi wa kibiashara. Hivi hii tume ya ushindani na haki za mlaji haina mamlaka ya kuwawajibisha hawa Tanesco?
Watanzania tukatae hili, tutambue kwamba wao hawapati hasara yoyote kwakuwa bili zao zinabakia vilevile, wangekuwa wanakosa mapato kwa sababu ya kukata umeme wasingeendelea kufanya hivyo.
Kama vipi nguvu ya umma itumike kudai haki ya kutokatiwa umeme.
Watanzania tukatae hili, tutambue kwamba wao hawapati hasara yoyote kwakuwa bili zao zinabakia vilevile, wangekuwa wanakosa mapato kwa sababu ya kukata umeme wasingeendelea kufanya hivyo.
Kama vipi nguvu ya umma itumike kudai haki ya kutokatiwa umeme.