Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,872
Katika Mpango Mkakati wa TANESCO 2020 hadi 2025 wamezitaja taasisi za Serikali kuwa ni changamoto ya kwanza kwa kuwa huwa hawalipi bili zao kwa wakati.
Changamoto nyingine ni watu kutumia vyanzo vingine vya nishati ya umeme kwa kuwa TANESCO hawana uthabiti wa huduma, hali ambayo inaathiri mapato ya TANESCO.
Uharibifu wa miundombinu, gharama na ushindani katika matumizi ya maji pia vimetajwa kama changamoto.
Changamoto nyingine ni watu kutumia vyanzo vingine vya nishati ya umeme kwa kuwa TANESCO hawana uthabiti wa huduma, hali ambayo inaathiri mapato ya TANESCO.
Uharibifu wa miundombinu, gharama na ushindani katika matumizi ya maji pia vimetajwa kama changamoto.