Memento JF-Expert Member Jun 13, 2021 4,423 9,962 Feb 2, 2022 Thread starter #242 myoyambendi said: Inaweza kuwa matengenezo makubwa au kama hizo.... Click to expand... Ndio maana nasema nyie ni marobot, leo wanasema wamepunguza ukubwa wa mgao. Hapo vipi?
myoyambendi said: Inaweza kuwa matengenezo makubwa au kama hizo.... Click to expand... Ndio maana nasema nyie ni marobot, leo wanasema wamepunguza ukubwa wa mgao. Hapo vipi?
Memento JF-Expert Member Jun 13, 2021 4,423 9,962 Feb 2, 2022 Thread starter #243 FUSO said: Kwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake. Click to expand... Leo wamesema wamepunguza mgao, kwa hiyo hivyo vitu vimeacha kuchoka?
FUSO said: Kwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake. Click to expand... Leo wamesema wamepunguza mgao, kwa hiyo hivyo vitu vimeacha kuchoka?
myoyambendi JF-Expert Member Sep 13, 2013 147,403 654,887 Feb 2, 2022 #244 Memento said: Ndio maana nasema nyie ni marobot, leo wanasema wamepunguza ukubwa wa mgao. Hapo vipi? Click to expand... Roboti hufanya isichokijua.... Na wewe hukujua ya Tanesco.....
Memento said: Ndio maana nasema nyie ni marobot, leo wanasema wamepunguza ukubwa wa mgao. Hapo vipi? Click to expand... Roboti hufanya isichokijua.... Na wewe hukujua ya Tanesco.....