TANESCO yalia ukata na madeni. Yaomba serikali (walipa kodi) wawabebe deni la tril 1.39 wanalodaiwa na IPTL, Songas na TPDC

Suluhisho kwa Tanesco kuepukana na madeni ni Stiegler's Gorge tu,kwani hivi vyanzo vya umeme vya Gas na Mafuta ili vilete faida kwa Tanesco lazima bei ya umeme iwe juu sana ambapo mwananchi wa kawaida hataweza kuimudu......
 
Nilidhani baada ya kuanzisha mtindo wa kulipa kwa LUKU, TANESKO wangepata faida lukuki. Kwa maana pale mwanzo watumiaji walikuwa wanaikopa TANESCO. iweje sasa hivi wakati TANESCO wanapata cash mfukoni na bado wanasuasua.

Ni lazima TANESCO itazamwe upya, yawezekana mfumo mzima ni hovyooooooo.
 
Mmh, 10,000/- upate 14units? Hii imeanza lini mkuu, manake jana tu nimenunua umeme na sikupata hizo units.
Angalia vizuri risiti (Debt collected 5,000/=) mita yake ina madeni ya nyuma huenda alikuwa na mita ya mzunguko wakambadilishia sasa ukinunua umeme nusu ya hela wana kata kabisa halafu nusu ndio wanakupa token hapo kapewa umeme wa sh. 5000/=
 
Mbona siku nyingi wameshaanza kukata yaani mimi nilikuwa nanunuaga umeme wa 10,000 unit 28.1 sasa hivi ukiweka 10,000 unakuja umeme unit 14 huku 5000 imeenda kusikojulikanaView attachment 1049618

Sent using Jamii Forums mobile app
Someni vizuri risiti jamani hapo inaonesha amelipia sh 10,000/= lakini amekatwa 5,000/= kupunguza au kulipia deni analodaiwa. Units 14.1 ni umeme wa sh. 5,000/= Deni ni hayo maneno yameandikwa "Debt Collected 5,000/=
 
Moshi hakuna mtu mwenye tarrif 4 ziliondelewa mwaka Jana Kwa wote, acha ligi zisizo na kichwa wala miguu
Kama unavyokiri kuwa ziliondolewa zote mwaka Jana. Kwahiyo miaka yoote tangu baba wa taifa mnahujumu TANESCO alafu mnajisifia eti mmeendelea?? Maendeleo ya wizi not sustainable. Mbona sasa mnaanza kulialia na hamkumbuki mlikuwa mnakwiba?. Nyie watu weezi na mnanuka damu ya wizi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli kabisa sisi huku vijini kilimanjaro tumeacha kabisa kutumia umeme haswa baada ya kuondoa tariff 4 inashangaza wabunge wetu wameshindwa hata kuuliza sababu za kuondoa tariff 4 mkoani kilimnjaro ,kimsingi tuwarudishe tu wabunge wa ccm walau maswala ya msingi kama haya wanaweza saidia.
Jingine hili hapa "WATU WA KILIMANJARO" ukabila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom