denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Huyu Makamba ana tatizo la kurithi nadhani, hii ndoto yake ya urais italiumiza sana hili taifa.Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) tayari walishatengeneza mfumo kama huo na unatumiwa na Taasisi mbali mbali za Serikali, huu wa January makamba na hao wahindi una kipi cha ziada?