Mkakombinga
Member
- Jul 5, 2021
- 29
- 96
Nyang'hware bila 150000 hupati uumeme.
Tanesco na nyie mnazingua, mmeshaambiwa tatizo lipo hapo Nyakato Mwanza, surveyor hataki toka ofisini kwenda kufanyia watu kazi mpka apewe rushwa, umekazana kutaka jina sijui eneo vya kazi gani na wadau wameshasema tatizo hapa, kuweni seriuos na maisha ya watu. Fuatilieni hiyo branch yenu hapo Nyakato ikiwezekana fukuzeni hao watu hapoNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Wewe ndiyo mpumbavu unayesifia ujinga na kitu kiko wazi kabisa kuwa baada ya kifo cha JPM hali imerudi ileile mbovu ktk utumishi wa ummaFicha upumbavu wako, kwa taarifa yako baada ya tamko la waziri walileta nguzo na kusimika bila hata kufuatiliwa.
Pambana na hali yako mkuu.
Usilazimishe kueleweka bwana wakati hueleweki chuki tu umebeba rohoni mwako inakutafunaWewe ni negative brain, ungekuwa vizuri reply yangu ya kwanza ungeielewa.
Je ulifika ofisini kupata taarifa kamili? Tafadhali tusaidie namba yako ya simu na eneo husika upatiwe ufafanuzi na ofisiSisi wakazi Wa ilala kata Ya buyuni zavala(chanika) ni ajabu eti mradi Wa REA umekatisha kwenye nyumba zaidi Ya 50,tumeambiwa hatumo kwenye mradi duuh..!!!..umeenda kuwashwa kwa mbele.. Nimebaki kumkumbuka mwendazake tuu........
Tumekuomba taarifa zako ili tupate pa kuanzia tafadhali toa ushirikiano wako wakati mwingine unakuta kuna maelezo ya kukamilisha umepewa haujakamilishaTanesco na nyie mnazingua, mmeshaambiwa tatizo lipo hapo Nyakato Mwanza, surveyor hataki toka ofisini kwenda kufanyia watu kazi mpka apewe rushwa, umekazana kutaka jina sijui eneo vya kazi gani na wadau wameshasema tatizo hapa, kuweni seriuos na maisha ya watu. Fuatilieni hiyo branch yenu hapo Nyakato ikiwezekana fukuzeni hao watu hapo
Habari wapendwa wateja wetu mnaotumia Jamii forumTumekuomba taarifa zako ili tupate pa kuanzia tafadhali toa ushirikiano wako wakati mwingine unakuta kuna maelezo ya kukamilisha umepewa haujakamilisha
Tafadhali weka taarifa kamili, tunawasihi ifahamike kwamba kwa maswala ya miradi ya umeme muda wa utekelezaji ni muhimu sanaNimeshawafuata inbox week ya pili jinsi gani wanachi wanateseka bila huduma yenu, Mnasema mnafatilia hakuna Mabadiliko yoyote mpaka leo,mnataka taarifa ipi?
we utakuwa choko tu sio kwa kurupuka hukoWewe ndiyo mpumbavu unayesifia ujinga na kitu kiko wazi kabisa kuwa baada ya kifo cha JPM hali imerudi ileile mbovu ktk utumishi wa umma
wapi nimelazimisha!?Usilazimishe kueleweka bwana wakati hueleweki chuki tu umebeba rohoni mwako inakutafuna
Mwezi Mzima nguzo zimesimikwa wire zimepita ,Huu uzembe Mkubwa sana na inaonesha kiasi gani uongozi umeshindwa kuwahudumia wananchi,sehemu nyingi ni Minguzo tu imesimamaTafadhali weka taarifa kamili, tunawasihi ifahamike kwamba kwa maswala ya miradi ya umeme muda wa utekelezaji ni muhimu sana
Habari wapendwa wateja wetu mnaotumia Mitandao ya kijamiiMwezi Mzima nguzo zimesimikwa wire zimepita ,Huu uzembe Mkubwa sana na inaonesha kiasi gani uongozi umeshindwa kuwahudumia wananchi,sehemu nyingi ni Minguzo tu imesimama
Habari wapendwa wateja wetu mnaotumia Mitandao ya kijamiiWaziri ni yule yule kipenzi cha JPM.
Shida nini??
Everyday is Saturday...............................
Hata iweje si hoja yenye mashiko kutetea "shetani" kisa nguzo za umeme kusimikwa bila umeme.Kwani enzi zake nchi ilikuwa ya "asali na maziwa?" Shida zilikuwepo,ameziacha na wengine watafanya kadri wawezavyo.Ila "uchwara" hayupo, FULL STOP!Si mlikuwa mnamtukana Magufuli?
Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?
Season ya nyumbu migration imeanza rasmi