TANESCO ya sasa imekuwa pambo; kipindi cha Magufuli ilikuwa ni ya kiutendaji

Jamani Tanesco Kibaha kwanini hamfanyi majukumu yenu? Watu wamelipia tshs.27,000/- kufungiwa umeme inakuwa big issue, kuwapatia Huduma hiyo, tuambieni jamani tatizo liko wapi kama ni list kuwa ndefu ya wateja wengine wanaosubiri kufungiwa mbona hatuoni watu wakipungua? Kama kuna ada nyingine tuambiwe, mnatukwaza…… tunadhani Gov’t ifikirie other Eletricity Co. kushindana na Tanesco hizi mambo hazitakuwepo unafanya tu ku switch Co. moja ikizingua kama ilivyo kwenye mitandao ya simu…. Urasimu utapungua sana. Thank you.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Hii Sms yenu Haisaidii semeni kama kuna shida wananchi tuelewe ,tumekaa na nguzo hapa ,tumepeleka form ,nireport tanaesco mara nyingi, Hapa Kwenu nimewapa taarifa sasa ni week ya tatu mnataarifa ,lakini hakuna kinachofanyika, kila tukiamka Minguzo imesimama tu hakuna kinachoendelea tunaenda mwezi huu mwezi tatu, yaani kweli Mama samia kwa mwendo huu wa tanesco tutamkumbuka sana JPM
 
Hii Sms yenu Haisaidii semeni kama kuna shida wananchi tuelewe ,tumekaa na nguzo hapa ,tumepeleka form ,nireport tanaesco mara nyingi, Hapa Kwenu nimewapa taarifa sasa ni week ya tatu mnataarifa ,lakini hakuna kinachofanyika, kila tukiamka Minguzo imesimama tu hakuna kinachoendelea tunaenda mwezi huu mwezi tatu, yaani kweli Mama samia kwa mwendo huu wa tanesco tutamkumbuka sana JPM
Tafadhali onyesha ushirikiano hata kwa kutuma taarifa PM tutakuhudumia
 
Tafadhali onyesha ushirikiano hata kwa kutuma taarifa PM tutakuhudumia
Nimeonesha ushirikiano PM nimetuma taarifa zote, tena Mpaka namba ya surveyor anayejua hilo eneo vizuri,nikawatajia, Mkasema mtafanyia kazi lakini hakuna chochote kilichofanyika , Nimeenda Tanesco Mara nyingi ,watu wanajibu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao, Tukiwambia Tanesco kuna shida tena kubwa sana , Mtuelewe inafika hatua Mpaka wananchi hawana sehemu ya kupeleka Malalamiko yao,Hili swala lakufunga nguzo miezi Mitatu bila kuunganisha umeme ni kwamba waziri Kalemani na Shirika lake linaenda Kuanguka vibarya na Tena kibaya zaidi hamsikilizi Maoni ya wafanya kazi
Faatilieni Pale Nyakato Mwanza Tanesco ,Maeneo waliyofunga nguzo kama Wameunganisha , Kisesa eneo la iseni Bondeni,Kishiri, Nyamongoro na Buswelu
Watu wanalalamika mpaka inakuwa kero, Mpaka unafika sehemu unafikiri ,je Hili shirika baada ya JPM kufariki ndio limekufa ,au Kuna kitu kinaendelea ,Twambieni kama mmezidiwa mmeshindwa kuhudumia wananchi tutavumilia na solar zetu, Shirika lilikuwa linaenda kwa kasi lakini sasa hivi limekuwa shirika la kulaumiwa
 
Jamani Tanesco Kibaha kwanini hamfanyi majukumu yenu? Watu wamelipia tshs.27,000/- kufungiwa umeme inakuwa big issue, kuwapatia Huduma hiyo, tuambieni jamani tatizo liko wapi kama ni list kuwa ndefu ya wateja wengine wanaosubiri kufungiwa mbona hatuoni watu wakipungua? Kama kuna ada nyingine tuambiwe, mnatukwaza…… tunadhani Gov’t ifikirie other Eletricity Co. kushindana na Tanesco hizi mambo hazitakuwepo unafanya tu ku switch Co. moja ikizingua kama ilivyo kwenye mitandao ya simu…. Urasimu utapungua sana. Thank you.
Huko Tanesco kunashida kubwa sana waziri achukue hatua Maeneo yote yenye nguzo wafunge umeme haya Malalamiko yametamalaki
 
Back
Top Bottom