Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 474
TANESCO ya sasa kwa siku 100 imekuwa ikiweka nguzo kama Mapambo bila kuunganisha umeme, hili limekuwa tatizo kubwa wananchi mpaka wamefikia hatua yakusema hakuna msaada serikalini kwa kuwa kuna nguzo zimeweka zaidi ya miezi mitatu 3 tangu Mh Rais samia awe Mkuu na Rais wa nchi hii, wa Tanesco wamekuwa wakiweka Magunzo bila kuunganisha umeme hii imekuwa sugu katika kituo cha Nyakato Mwanza
Waziri amka sasa acha kulala kwa mujibu wa katiba, Mwananchi ndio mwenye Mamlaka na ndio Mwajiri wako, fatilia sehemu zote zenye nguzo bila umeme, fukuza hao manager, surveyor ajili wengine.
By wako Mwanadiplomasia
Waziri amka sasa acha kulala kwa mujibu wa katiba, Mwananchi ndio mwenye Mamlaka na ndio Mwajiri wako, fatilia sehemu zote zenye nguzo bila umeme, fukuza hao manager, surveyor ajili wengine.
By wako Mwanadiplomasia