luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,866
Waziri Makamba Ukipata wasaa wa kupitia UZI huu basi usisite kutembelea hii ofisi ya TANESCO Kibaha.
Wiki mbili zilizopita nilifika ofisi ya TANESCO Kibaha nikirejesha fomu yangu ya maombi ili niweze kupangiwa Surveyor, nikiwa pale ofisini kwao nikaona Tangazo ambalo lilihusu upimaji (surveyor) kwa kata tofauti kwa nyumba ambazo zinahitaji huduma hizo, basi nikalipitia tangazo lile na niliona katika kata yangu walipanga kulitembelea Tarehe 19 ya Oktoba kwa maana ya juzi hapa.
Kufika hiyo 19 Oktoba hawa jamaa hawakuonekana ktk eneo husika , nikasema pengine kwakuwa ni sikukuu basi watakuwa wamesogeza mbele tarehe kwa maana tarehe 20, ikafika tarehe 20 hawa jamaa pia hawakufika katika eneo husika.
Ni wazi huu ni ubabaishaji wa kiwango cha juu mnoo.
Wiki mbili zilizopita nilifika ofisi ya TANESCO Kibaha nikirejesha fomu yangu ya maombi ili niweze kupangiwa Surveyor, nikiwa pale ofisini kwao nikaona Tangazo ambalo lilihusu upimaji (surveyor) kwa kata tofauti kwa nyumba ambazo zinahitaji huduma hizo, basi nikalipitia tangazo lile na niliona katika kata yangu walipanga kulitembelea Tarehe 19 ya Oktoba kwa maana ya juzi hapa.
Kufika hiyo 19 Oktoba hawa jamaa hawakuonekana ktk eneo husika , nikasema pengine kwakuwa ni sikukuu basi watakuwa wamesogeza mbele tarehe kwa maana tarehe 20, ikafika tarehe 20 hawa jamaa pia hawakufika katika eneo husika.
Ni wazi huu ni ubabaishaji wa kiwango cha juu mnoo.