Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,060
- 281
Leo asubuhi watumishi wa shirika la umeme Tanesco walifika katika mbele ya kanisa la Full Gospel Bible Fellowship kwa nia na madhumni kuendeleza zoezi la kusimika nguzo kwa ajili ya umeme. Mara baada ya kufika hapo walikutana na kigingi cha waumini ambao idadi yao inaaminika kufikia mia mbili.
Muda mchache baada ya kutimuliwa jeshi la polisi lilikaingia. Haikujulikana mapema ni nani aliyetoa taarifa hizo kwa jeshi hilo.
Kiongozi wa kipolisi aliyeambatana na jeshi hilo aliingia ndani kwenda kufanya mazungumzo na uongozi wa kanisa akiwapo askofu Mkuu Zakary Kakobe.
Baada ya hayo mazungumzo Akofu Mkuu Zakary Kakobe alijitokeza nje na kuanza kuhojiwa na jopo la waandishi wa habari waliokuwapo hapo kwa ajili ya kushuhudia zoezi hilo. Wakati anahojiwa na waandishi polisi waliokuwa katika magari maarufa kama defender na wale waendesha pikipiki maarufu kama tigowalingoa nanga kuodoka katika eneo hil.
Askofu Mkuu Zakary Kakobe alianza kwa kusema Mazungumzo bado yanaendelea baina yetu sisi na serikali, sisi tunaamini serikali haiwezi kuwa chanzo cha vurugu, ni jambo la uzuni sana kuona kuna kikundi kidogo cha watu wachache, sasa tunataka kuja hilo kundi la watu wachache ni hakina nani hao.
Akiongea kuhusu madhara ya huo mradi Askofu Zakary Kakobe alisema, Mradi huu una heath hazard, una madhara kwa afya ya binadamu, nguzo hizi zinatakiwa kupitishwa umbali wa mita 7.5 kutoka katika makaazi ya watu.
Athari za huu umeme kupita karibu na makaazi ya watu, ni pamoja na wanaume wanaweza kupoteza nguvu za kiume, na wanawake mamba zinaweza kutoka
Akiongea kwa ufasaha kuhusu uhalali wa mradi wenyewe, Askofu alisema, kisheria umma lazima ushirikishwe katika hatua za awali kitu ambacho hakikufanyika, mimi kama msomi nalijua hilo na nina pambana nao kisomi.
Kuhusiana na idadi ya watu waume kwa wake wanaokuwepo hapo masaa 24/7 ambao idadi yao inakadiriwa kufikia 200, kuhusiana mustakabari wa kutokuwa na kazi za kufanya, na ni nani anawalipa kwa kufanya hiyo kazi. Askofu alikuwa na haya ya kusema Hawa wana kazi zao za kufanya, kanisa hili lina waumini 10,000. Hapa wanafanya kazi kwa kujitolea, kuna shift 6 A, B, na C. Wapo hapa kwa ajili ya kulinda maslahi yao, tayari tuna mradi wa runinga, wameshachanga million 800, mradi huu sasa umekwama kwa kitisho na chokochoko za Tanesco.
Hiyo ndiyo habari kwa ufupi.
Muda mchache baada ya kutimuliwa jeshi la polisi lilikaingia. Haikujulikana mapema ni nani aliyetoa taarifa hizo kwa jeshi hilo.
Kiongozi wa kipolisi aliyeambatana na jeshi hilo aliingia ndani kwenda kufanya mazungumzo na uongozi wa kanisa akiwapo askofu Mkuu Zakary Kakobe.
Baada ya hayo mazungumzo Akofu Mkuu Zakary Kakobe alijitokeza nje na kuanza kuhojiwa na jopo la waandishi wa habari waliokuwapo hapo kwa ajili ya kushuhudia zoezi hilo. Wakati anahojiwa na waandishi polisi waliokuwa katika magari maarufa kama defender na wale waendesha pikipiki maarufu kama tigowalingoa nanga kuodoka katika eneo hil.
Askofu Mkuu Zakary Kakobe alianza kwa kusema Mazungumzo bado yanaendelea baina yetu sisi na serikali, sisi tunaamini serikali haiwezi kuwa chanzo cha vurugu, ni jambo la uzuni sana kuona kuna kikundi kidogo cha watu wachache, sasa tunataka kuja hilo kundi la watu wachache ni hakina nani hao.
Akiongea kuhusu madhara ya huo mradi Askofu Zakary Kakobe alisema, Mradi huu una heath hazard, una madhara kwa afya ya binadamu, nguzo hizi zinatakiwa kupitishwa umbali wa mita 7.5 kutoka katika makaazi ya watu.
Athari za huu umeme kupita karibu na makaazi ya watu, ni pamoja na wanaume wanaweza kupoteza nguvu za kiume, na wanawake mamba zinaweza kutoka
Akiongea kwa ufasaha kuhusu uhalali wa mradi wenyewe, Askofu alisema, kisheria umma lazima ushirikishwe katika hatua za awali kitu ambacho hakikufanyika, mimi kama msomi nalijua hilo na nina pambana nao kisomi.
Kuhusiana na idadi ya watu waume kwa wake wanaokuwepo hapo masaa 24/7 ambao idadi yao inakadiriwa kufikia 200, kuhusiana mustakabari wa kutokuwa na kazi za kufanya, na ni nani anawalipa kwa kufanya hiyo kazi. Askofu alikuwa na haya ya kusema Hawa wana kazi zao za kufanya, kanisa hili lina waumini 10,000. Hapa wanafanya kazi kwa kujitolea, kuna shift 6 A, B, na C. Wapo hapa kwa ajili ya kulinda maslahi yao, tayari tuna mradi wa runinga, wameshachanga million 800, mradi huu sasa umekwama kwa kitisho na chokochoko za Tanesco.
Hiyo ndiyo habari kwa ufupi.