TANESCO wapandisha ada za kununua LUKU kwa 82% (?)

nusuhela

JF-Expert Member
Jan 26, 2014
5,736
6,972
Ni jambo la kushangaza sana baada ya kuona bei za mafuta ghafi imeshuka halafu ada za kununua LUKU zimepanda.

Je, huku ndiyo kusimama na wanyonge kama Mh. Rais anavyosema?

Au TANESCO mmeamua kumuhujumu Mheshimiwa Rais kwenye mbio zake za kuhakikisha wanyonge wanapata unafuu wa maisha?
 
Umeme wa 10k naupata kwa unit 14 na point zake kutokana na deni ambalo nina zaidi ya miaka mitano hata sijui limepungua kiasi gani.

Sasa wakiongeza gharama huo umeme wa 10k ntapewa unit ngapi?

Huu utawala ungekua unajali kero za wananchi basi wangeweza kuruhusu watu kutoka mataifa ya nje waje wawekeze katika sekta tofauti tofauti ikiwemo na umeme ingeweza kuweka ushindani kama ilivyo mitandao ya simu.

Kiukweli tanesco wanatuletea dusko tu yani system yao haieleweki kama sigara kali.
 
Anhaa unazungumzia vile vimakato vyao vya kinazi sijui ewura mara rea nk??
Mkuu uko sawa ila mimi sikuwai ata kujua wanakataakiasi ani leo ndiyo umeniabarisha ila uwa ninadhani yale makato siyo ya tanesco bali ya mtandao wa simu ndiyo maana kuna mitandao miningne uwa wanatoa promotion ya kununua luku bila hayo makato.
 
Mkuu uko sawa ila mimi sikuwai ata kujua wanakataakiasi ani leo ndiyo umeniabarisha ila uwa ninadhani yale makato siyo ya tanesco bali ya mtandao wa simu ndiyo maana kuna mitandao miningne uwa wanatoa promotion ya kununua luku bila hayo makato
Hakuna cha mtandao wa simu hapo mzee

Saizi ukienda kulipia kwenye machines za max malipo kununua umeme walio unatozwa shingi mbili ya kusukumia huo umeme otherwise ukitoa 10k wakupe umeme wa 9800 halafu miambili wanapita nayo.
 
Asilimia 82% mbona kama wanatukomoa wananchi au wananchi kama mafuta yameshuka bei iweje gharama ya Luku ipande? Tunahitaji ufafanuzi hapa TANESCO.
Ma investors kutoka mataifa yaliyoendelea waje kupokea hiki kijiti kwa kuwapa challenge. Hii ishu ya kusema uzalendo tuthamini vya kwetu itatulaza giza
 
Ma investers kutoka mataifa yaliyoendelea waje kupokea hiki kijiti kwa kuwapa challenge. Hii ishu ya kusema uzalendo tuthamini vya kwetu itatulaza giza

Kwanza wasumbufu sana ukiomba huduma yakufungiwa umeme utazungushwa miaka kama yote wakati unatoa hela yako mfukoni.
Hii huduma ingekuwa na ushindani kama makampuni ya simu wasingekuwa wanafanya huu upuuzi.
 
Back
Top Bottom