Ally Msangi
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 608
- 120
Nafikiri serikari yetu imeshindwa kuendesha inchi kama sio wameshaiuza maana umeme wanavyoukata utadhani dozi ya panadol kutwa mara tatu,
hivi hawa TANESCO wanalipia mabilioni ya fedha kwa Ajili ya umeme wa dharura ili iweje kama umeme unakatika all the time.
hivi hawa TANESCO wanalipia mabilioni ya fedha kwa Ajili ya umeme wa dharura ili iweje kama umeme unakatika all the time.