mr mkiki JF-Expert Member Sep 22, 2016 5,583 11,659 Jan 1, 2017 #1 Hakuna tofauti kabisa nashauri tu wawe wanaanzisha hata tetesi kwanza kupima upepo wakiona kimya wanatangaza. Tutabaki na maswali mengi kuliko majibu! TANESCO waliomba, EWURA wakaruhusu. TANESCO wametumbuliwa, EWURA bado?
Hakuna tofauti kabisa nashauri tu wawe wanaanzisha hata tetesi kwanza kupima upepo wakiona kimya wanatangaza. Tutabaki na maswali mengi kuliko majibu! TANESCO waliomba, EWURA wakaruhusu. TANESCO wametumbuliwa, EWURA bado?
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Dec 14, 2016 13,992 31,695 Jan 1, 2017 #2 Naona walio baki wanavutiwa pumzi