barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Umenena hapo juu, mahakama ndo chombo cha kutolea haki, bila kupepesa macho hii ishu ya libomolewe au lisibomolewe ikienda mahakamani, saa mbili na robo asubuhi judge atasema toa hiyo kitu iko ndani ya hifadhi ya barabara.Kikatiba mahakama ndicho chombo pekee cha kutoa haki,siyo matamko yote ya rais ni halali.Kubomoa jengo hilo ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.Bado uwezekano upo wa kubana zaidi upande wa wizara ya maji kukabomolewa ili kuepusha hasara zaidi.
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app