TANESCO wakubali kubomoa jengo lao, waahidi upatikanaji wa umeme wakati wa kutekeleza agizo hilo

Kama tungekuwa na uwezo wa kujifunza na kujiongeza zaidi hakuna haja ya kubomoa jengo lile.
 
Hii ndiyo alternative mkuu! Kumbuka bila maamuzi magumu kama hayo hatutokua na miji mazuri kama kwa wenzetu, ili tujifunze lazima haya mambo yatokee.
 
Ivi wanavyobomoa majengo ya watu,alafu wanaanza lini kujenga barabara zao
 
5a8579fdbb28d510cc93603db4dac8b5.jpg
 
Ivi wanavyobomoa majengo ya watu,alafu wanaanza lini kujenga barabara zao
Mkuu watz nimabingwa wakuvunja sharia yaani hadi hiyo serikali nayo pia niyaleyale ndiyo maana jamaa kasema hata kama ni serikali lazima ifate sheria.
Ili Tanzania ifanane angalau na miji mingine duniani lazima haya yatokee. Nadhani hata huko ulaya walipitia vipindi vigumu kwanza ndiyo maana wapo hapo walipo.
 
Wangeomba washauri wa wataalamu wa Ujenzi jinsi ya kuepusha hasara,barabara ingeweza kujengwa hata kwa ghorofa Mbili au Tatu lengo ni kulikwepa jengo,maana kodi zetu zinauma sana hasa sie ambao kila siku lazima tulipe kodi kuchangia kupitia mafuta ya Magari,faini,nk.
 
Kama wanabomoa wafanye papendeze
Maana bila lile jengo Dar inatakiwa itukaribishe na ki2 kizur
Lkn sheria ni sheria
Sio busara kubomolea wengine af ya serikali inaachwa.
 
Kikatiba mahakama ndicho chombo pekee cha kutoa haki,siyo matamko yote ya rais ni halali.Kubomoa jengo hilo ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.Bado uwezekano upo wa kubana zaidi upande wa wizara ya maji kukabomolewa ili kuepusha hasara zaidi.

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom