TANESCO: Tunazalisha MW 1501 tu za umeme

gimanini

JF-Expert Member
Jun 20, 2015
1,741
1,754
Akiongea katika kipindi cha Jambo Tz afisa wa TANESCO amesema muda si mrefu watanzania watapata umeme wa uhakika km nchi zingine za ulaya, kwani hadi sasa wanazalisha MW 1501 tu.
 
Tanesco hamfai kabisa masisiemu ninyi.

Mnabebwa hambebeki mmedhaminiwa hamdhaminiki. Tupa kule
 
Huo umeme wanaouzalisha wanaupeleka wapi wakati mitaani ni giza?
 
IMG_0596.jpg
CCM mbele kwa mbeleeee
 
TANESCO pekee yaweza itoa CCM madarakani endapo Watanzania tutaamua, sema tatizo la Watanzania wajinga ni wengi na wanadangamywa na kitu kidogo sana, huu umeme tumedanganywa mara majenereta yanawashwa leo hii umeme kila siku wakatika
 
Tanesco wahuni kuna magenerator ambayo yana uwezo wa kuzalisha mpaka MW 300 na zaidi kwa pamoja na bei zake sio izo tunazoambiwa na diesel inatafuna kidogo tuu nashindwa kuelewa kwa nini wasingetafuta mbadala huku wakiendelea na kutatua tatizo.
 
Wanasubiri Elnino kwa hamu kubwa. Wenzao wa Kenya wameandaa Ksh 16bn kukabiliana na Elnino wao ni blah blah tu
 
Wanasubiri Elnino kwa hamu kubwa. Wenzao wa Kenya wameandaa Ksh 16bn kukabiliana na Elnino wao ni blah blah tu

Ulichosema ni kweli, sis maneno mingi mingi mipango hakuna. Wenzutu wa Kenya mipango na bajeti za kukabili El Nino iko ya Kitaifa na za Majimbo. Kweli sikio la kufa halisikii dawa!!!


 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom