dumejm
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,174
- 841
TANESCO manispaa ya songea tunawaombeni mtuletee nguzo za umeme sisi wakazi wa mkuzo-maliasili, mnakosa wateja wengi sana huku wenye uwezo wa kulipia umeme na wenye matumizi makubwa tafadhali tunaomba mlipokee hili tunahitaji sana umeme.. Mwaka wa tatu huu sasa tangu tetesi za kutuletea nguzo zilipoanza lakini mpaka leo tunaona kimya kulikoni... Sisi ni wanachi pia tunahitaji hii huduma muhimu ya umeme.. Tunaumia sana kuona kipande chetu cha 1 sq kinakosa umeme.... Tunapata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app