TANESCO towards 2013

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Hii ndiyo hali halisi!

i1546_TANESCO2008.jpg
 

Attachments

  • Hali_halisi_TANESCO.pdf
    711 KB · Views: 307
Nasikitika, ONLY members can download this attachment. Kwa wale wachunguliaji hapo mtakuwa 'mmenoa'!
 
Mkurugenzi wa shirika hili anaanza kazi lini?

watu wanasafiri tu kwenda Davos;kwanini asimalize kuteua Mkurugenzi wa shirika hili pamoja na NBC...
 
Tutafute namna ya kuwaondoa wanasiasa wetu kwenye mashirika ya UMMA. Yanaweza kufanya kazi vizuri kama yataundiwa boards nzuri za wataalam na ajira zikafanyika kwa kuzingatia TAALUMA.
 
Wow! Hiyo kitu nilikuwa naitafuta sana, ukienda ofcn kupata hizo data ni noma sana....
 
Mkuu thanks, ngoja tusome then tuchangie hoja. Sounds interesting.......by a quick look
 
Mkataba wa IPTL ulisema toka mwanzo mwekezaji atabadili mitambo yake kuwa ya GAs pale gesi itakapoanza kuzalishwa, sasa toka kipindi cha Ali Hassan Mwinyi mpaka kipindi cha Nkapa kimepita Suala hilo ambalo tulielezwa ni dogo tu, hakuna hatua, mpaka Leo hii Kikwete na Serikali yake wanaagiza mafuta mazito ili kuendesha mitambo ya IPTL, na labda mpaka serikali ya Invisible/august/Rev/mwanakijiji nk itakuwa hivyo hivyo.????/
 
Mkataba wa IPTL ulisema toka mwanzo mwekezaji atabadili mitambo yake kuwa ya GAs pale gesi itakapoanza kuzalishwa, sasa toka kipindi cha Ali Hassan Mwinyi mpaka kipindi cha Nkapa kimepita Suala hilo ambalo tulielezwa ni dogo tu, hakuna hatua, mpaka Leo hii Kikwete na Serikali yake wanaagiza mafuta mazito ili kuendesha mitambo ya IPTL, na labda mpaka serikali ya Invisible/august/Rev/mwanakijiji nk itakuwa hivyo hivyo.????/
Mkuu mikakati hupangwa mwaka hadi mwaka, mikakati ukiisoma ni very promising kusema ukweli, ngoma inakuja kwenye utekelezaji!
 
Mkuu mikakati hupangwa mwaka hadi mwaka, mikakati ukiisoma ni very promising kusema ukweli, ngoma inakuja kwenye utekelezaji!
Mkuu, kwanza ieleweke wazi kua mara nyingi watunga sera ni watu wanaolipwa posho nyingi kwa kazi hiyo, na mara nyingi huenda kwenye miji tulivu kama Arusha kule Ngurdoto ama kwenye hotel yoyote tulivu.

Na mara zote huenda huko na makabrasha yenye nyaraka kutoka nchi mbalimbali, na kutoka humo hukopi na ku-paste.

Ni vyema kuwasifu kwa malengo yao, lakini hebu njoo kwenye nia ya kutekeleza hayo, ni mambo ya ajabu sana.

TANESCO kwangu mimi ndilo shirika la hovyo zaidi likifuatiwa na shirika la reli, pamoja na Jeshi la polisi katika utendaji.
 
If at all technical or subject matter expert will be left to run under supervison, all those targets will be reached, however if you note from the report the org is burdened with bad debtors and huge fees from IPP's all this is because the contracts were not signed from the source and had inflated capacity charges, so it is burdening coy's operations, look at the generation plan and estimated demand increase yearly if something is not done to increase generation capacity and also diversify source like Kiwira (makaa ya mawe), and hydro, the over reliance to some of the existing power generation plant.

I hope the government will publish the report and task both TANESCO and Ministry to follow it to the latter.
 
pamoja na kwamba sijasoma ripoti yote lakini jamani CCM ndo wanaua mashirika yetu kwa kuendekeza siasa badala ya ku-take action. Nimesikitika kusikia waziri kawambwa anasema wana mikakati ya kuweka treni ya mwendo kasi.....hizi porojo ambazo CCM wanazitumia ili kufurahisha jukwaa wakati hata treni ya mwendo wa mkokoteni imemshinda.

Serikali ya CCM ni kama baba mlevi kila akirudi nyumbani kalewa anawaambia watoto wake kuwa kesho ntawanunulia gari kila mmoja.......then asubuhi pombe zikimtoka anawaambia nililewa.
 
ngoja nisome hii homework wekend hii kisha ntarejea tena hapa kuchangia hii hoja
 
Tanesco damning Sh273bn loss

By Polycarp Machira
31st January 2010

The Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) lost over Sh273 billion in revenue between 2005 and 2008 - an average of Sh68 billion per year- casting a bleak future to the country's only power supply utility.

According to a latest report tabled before Parliament's Parastatal Organisation Accounts Committee (POAC, the state owned power utility is at the brink of collapse as it fails to post any profit amid the growing demand of power as well as looming power rationing.

Interestingly about 74 percent of the total loss incurred during that period was caused by the highest cost of production, while the rest was a result of defaulters mainly the government.

Tanesco purchases about 59 percent of its power from independent power producers, which according to financial details, dents up to 83 percent of the total revenue collected annually.

With a dilapidated infrastructure built mainly during the 1970s, the company's power supply capacity is estimated at 595megawatts. This year, the actual demand is 787megawatts - creating a deficit of 192megawatts.

According to available details, the company has only 670,000 customers. Last year, the company planned to increase its customer base by about 100,000, but the target couldn't be reached due to financial strains.

Behind the figures presented to the PCPA this week, lies a bleak future to the 102 year old power supply company, with insiders warning that it's just a matter of time before the troubled utility seek a huge bail-out from the government.

Even with an increment of electricity tariff by 21 percent last year, things are still falling apart as Tanesco's books continue to post huge losses annually.

"Profit realized in 2005 was as a result of debts collected from the government and conversion of government's debts into capital. This enabled the company save the interest it was paying on the debt" read part of the report.

According to the report to the Parliament's Parastatal Organization Accounts Committee (POAC) early this month the company cited the increased production cost that rose by 33 percent in 2007 as private power producers started operation.

On the other hand sales revenue dropped by 4.5 percent per year in 2008 up from 11 and 20 percents in 2005 and 2007 respectively.

However, the report shows that in 2008, the company operated smoothly with funds from sales revenue and government contributions to pay capacity charges to IPTL, Aggreko, Dowans and Alstom. It accumulated Sh 371,257 billion in sales revenue in 2008 compared to Sh 292,006 billion in 2007. Government's contribution on that year was a mere Sh33 billion up from sh109 billion in the previous year.

The report further states that the power company predicts massive demand for electricity connectivity in the next four years.

Tanesco cites financial constrain as a major setback in the implementation Kiwira and Ruhudji power plans that would generate 200 and 358 megawatts respectively under the least cost development plan.

Late last year, the government admitted that it needs about $1, 5-billion over the next five years to revamp its power sector.

Permanent secretary Arthur Mwakapugi said among the projects due by 2015 were two natural-gas powered plants, two hydro dams and a wind-powered project expected to add up to 1 178 megawatts (MW) to the grid.

Mwakapugi said that a 200 MW coal power plant worth $400-million that was due to start operation by 2011 had already been delayed, adding that the government was struggling to secure funds for a 300 MW natural gas-powered project in southern Tanzania worth $300-million.

In December Tanesco said it needed to add 105 MW to its grid each year to meet rising demand, but faced delays in building the new plants necessary to hit the target.

Peak time demand in the country stands at about 787 MW versus 595 MW available on the grid. The utility forecasts demand rising to 1 331 MW against 1 445 MW capacity by 2014, the company's well detailed report shows.

The company wants the government source funds for the implementation of 60 MW power plan in Mwanza, 100MW at Ubungo, 250 MW at Kinyerezi and 300MW at Mnazi Bay.

What do these figures mean?

For instance in 2004, the company paid Sh43 to private power producers for every Sh100 it collected in revenue. By 2006, when dubious government deals were made with private companies, that figure had more than doubled, to Sh104 for every Sh100 collected, according to the parliamentary committee presentation.

In 2007/08, the company spent Sh83 for every Sh100 it collected to foot the bill of power generated by private producers, but this year, the figures will soar even higher - to Sh106 for every Sh100 collected, according to the financial details seen by The Guardian on Sunday.

In other words, 83 percent of the total revenue collected by the state-owned utility company will go to private power producers, leaving the company in dire financial strains.

Over the past two years, the company's revenue collection has spiked by 122 percent, reaching Sh437bn a year up from Sh196bn in 2006. So do the losses it made during that period.



SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
BAK nimeipitia hii news leo. Nikawa na maswali mengi ambayo hayakupata majibu. Mf performance ya 2009 unaiona hapo? Pia hiyo idadi ya wateja ni ya kweli? Hivi target ya tanesco ni kuunganisha wateja 100, 000 kwa mwaka kwenye nchi ambayo less than 10% ndio wenye access na power.
Haisemi mafanikio. Haina brakedown ya miaka. Yaani hawa watawala????
 
BAK nimeipitia hii news leo. Nikawa na maswali mengi ambayo hayakupata majibu. Mf performance ya 2009 unaiona hapo? Pia hiyo idadi ya wateja ni ya kweli? Hivi target ya tanesco ni kuunganisha wateja 100, 000 kwa mwaka kwenye nchi ambayo less than 10% ndio wenye access na power.
Haisemi mafanikio. Haina brakedown ya miaka. Yaani hawa watawala????


Mkuu Bnhai, ndiyo tatizo la hawa Parliament’s Parastatal Organisation Accounts Committee (POAC) ripoti zao zinakuwa ni za miaka ya nyuma sana. Kwa mfano hii ripoti yao inagusa miaka ya 2004 hadi 2007. Hiyo ripoti ya 2009 labda itatolewa miaka mitatu au minne baadaye. Inawezekana ripoti yenyewe ina break down za miaka, labda mwandishi wa article hii hakuna kama ina umuhimu wa kuiweka kama ambavyo mimi na wewe tunavyouona.
 
Mkuu Bnhai, ndiyo tatizo la hawa Parliament’s Parastatal Organisation Accounts Committee (POAC) ripoti zao zinakuwa ni za miaka ya nyuma sana. Kwa mfano hii ripoti yao inagusa miaka ya 2004 hadi 2007. Hiyo ripoti ya 2009 labda itatolewa miaka mitatu au minne baadaye. Inawezekana ripoti yenyewe ina break down za miaka, labda mwandishi wa article hii hakuna kama ina umuhimu wa kuiweka kama ambavyo mimi na wewe tunavyouona.
Sasa maana yake nini unaenda kujadili miaka mitatu. Kwani inahitaji nguvu kiasi kuandaa statements au ripoti kwa wakati. Mie niliisoma nikawa kimya maana nilikuwa nina interest mwaka 2008 na 2009. Sasa mpaka ripoti iwe tayari interest itakuwa imeshahama. Hivi kwanza financial statements zao ni public??
 
BAK,

Hivyo Tanesco inaingia gharama kubwa sana kwa ajili ya ule umeme wa kununua kutoka makampuni mengine. Si heri hizo fedha wangenun ulia mitambo mipya na kuiendesha wao wenyewe?

It is time Tanesco ivunjwe kama ilivyokuwa TTCL, kampuni binafsi ziruhusiwe kuzalisha umeme na kuuza moja kwa moja kwa wananchi!
 
BAK,

Hivyo Tanesco inaingia gharama kubwa sana kwa ajili ya ule umeme wa kununua kutoka makampuni mengine. Si heri hizo fedha wangenun ulia mitambo mipya na kuiendesha wao wenyewe?

..


Wananunua mitambo miwili, moja kwa ajili ya kanda ya ziwa na mwingine Kanda ya Dar.
 
Back
Top Bottom