Habari ndiyo hiyo. January anazunguka na Rais, hajui Kama huo Umeme wa Kigoma nao Ni white elephant Kama sisi tulio kwenye grid ya taifa.
Kumbuka uhalifu wote unafanyika usiku, Sasa Giza Totoro usalama wa watu na Mali zao inakuwaje? Makamba tafakari.
Narudia, of all, be it electrical, mechanical even civil engineers wote Tanzania, hawafai ila January Makamba? Nchi hii Mungu aiangamize aumbe watu wengine wapya.
Kumbuka uhalifu wote unafanyika usiku, Sasa Giza Totoro usalama wa watu na Mali zao inakuwaje? Makamba tafakari.
Narudia, of all, be it electrical, mechanical even civil engineers wote Tanzania, hawafai ila January Makamba? Nchi hii Mungu aiangamize aumbe watu wengine wapya.