Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,737
- 5,438
Kwa siku takriban nne wakazi wa Kigamboni wamekuwa wakikatiwa umeme kwa utaratibu maalumu ambao haujatangazwa.
Kwa siku mbili jana usiku na juzi kati, umeme umekuwa ukikatika kati ya saa 1 na 2 na kurudishwa saa 6 au 7 usiku. Leo 05 Jan.2018 na juzi umeme ulikatwa kati ya saa 2 asubuhi na 4 asubuhi na kurejeshwa kati ya saa 1 na 2 kasoro za usiku.
Kisheria Tanesco wanapaswa kutoa taarifa iwapo wanatazamia kukata umeme kwa sababu yoyote lkn hata sasa hawajatoa taarifa yoyote kuhusu tatizo hilo na tumeanza kuamini kuwa kuna mgawo wa umeme. Nawaomba Tanesco muwe wakweli kwa wateja wenu maana tunachoshuhudia sasa ni kudorora kwa huduma za Tanesco tangu kuondoka kwa aliyekuwa CEO wa Tanesco, Falcheshmi Mramba.
Tanesco mtutendee haki wateja wenu.
Kwa siku mbili jana usiku na juzi kati, umeme umekuwa ukikatika kati ya saa 1 na 2 na kurudishwa saa 6 au 7 usiku. Leo 05 Jan.2018 na juzi umeme ulikatwa kati ya saa 2 asubuhi na 4 asubuhi na kurejeshwa kati ya saa 1 na 2 kasoro za usiku.
Kisheria Tanesco wanapaswa kutoa taarifa iwapo wanatazamia kukata umeme kwa sababu yoyote lkn hata sasa hawajatoa taarifa yoyote kuhusu tatizo hilo na tumeanza kuamini kuwa kuna mgawo wa umeme. Nawaomba Tanesco muwe wakweli kwa wateja wenu maana tunachoshuhudia sasa ni kudorora kwa huduma za Tanesco tangu kuondoka kwa aliyekuwa CEO wa Tanesco, Falcheshmi Mramba.
Tanesco mtutendee haki wateja wenu.