mwandiko mbovu ila umeeleweka@TANESCO tatueni shida zetu jamaniTureteni trasi foma tabora malolo komba masai mmeleta nguzo bado trasi foma
Kweli shule siunajua ndio ivomwandiko mbovu ila umeeleweka@TANESCO tatueni shida zetu jamani
Tabata Kujyerezi tokea walivyokata usiku saa nane mpaka saivi hawajarejesha.TANESCO mmetangaza umeme utakatika saa 2-11 Sasa inaenda saa 12 umeme Hamna tabata Mwananchi,Kisiwani st. Mna mpango gani? Jifunzeni kwenda na muda kama mnavyoahidi.
Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
PoleniTabata Kujyerezi tokea walivyokata usiku saa nane mpaka saivi hawajarejesha.
Tulifika eneo lako mwezi wa Tisa na kugundua kuwa upo umbali wa zaidi ya mita 120 hivyo mpaka tusogese miundombinu ya umeme ndio unaweza kupata huduma, tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
Sijui aliyefanya savey aliamua kunihujumu maana kwangu ni kama nguzo 2 ila kwasababu kuna nyumba umezuia nguzo ilibidi kuna ile nguzo ndogo kwaajili ya ku jumpa ambayo ni kama mita 5 hivi ndio upate njia ya kuingia kwangu ambapo ni nguzo 2 tu sasa sijui utanisaidiaje kwani saveyor inainekana kafanya makosa hapo kusema ni nguzo 3 wakati mahitaji yangu ni 2 ila kuna nguzo imezuiwa na nyumba ilibidi kusogeza 5mita tu je hiyo 120+ inatoka wapi? Naomba msaada wako nimekwamishwaTulifika eneo lako mwezi wa Tisa na kugundua kuwa upo umbali wa zaidi ya mita 120 hivyo mpaka tusogese miundombinu ya umeme ndio unaweza kupata huduma, tumepokea taarifa kwa hatua zaidi