andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,709
- 119,603
Ahsante mkuuBado manunuzi ya leo hayajafanikiwa tunaomba tufatilie mkuu wetu.
Ahsante mkuuBado manunuzi ya leo hayajafanikiwa tunaomba tufatilie mkuu wetu.
Je umenunua kwa mtandao gani na namba ya simu uliyotumia tafadhaliNimelipia leo
Umelipa TSh 4,000 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:37135334748. Muamala: 65170713880. Jumla ya Makato TSh 80. (Ada TSh 0, Tozo TSh 0), VAT TSh 12. 26/10/21 12:40.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana hawa jamaa ni shida wamekaa kiwizi mbaya mno unatanguliza malipo ndoJina Japhet Edward Hamaro
Eneo Mabwepande Mji mpya
Wilaya Kinondoni
Namba ya simu 0768 590175
Tatizo nimepeleka maombi ofisini ya kuunganishiwa umeme toka tarehe 13/09/2021 mpaka hata surveyor hajaja.
Toka lini September 13
Ahsante sana
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidiJina Japhet Edward Hamaro
Eneo Mabwepande Mji mpya
Wilaya Kinondoni
Namba ya simu 0768 590175
Tatizo nimepeleka maombi ofisini ya kuunganishiwa umeme toka tarehe 13/09/2021 mpaka hata surveyor hajaja.
Toka lini September 13
Ahsante sana
Mbona kinondoni B,Mjini umeme unakatwaTumepokea taarifa kwa hatua zaidi
Hata mbezi Beach wamekata hii kitu inaitwa TANESCO kwakweli bila kuigawa kuwa mashirika mawili tutaendelea kupata shida sana hapa nchini.Mbona kinondoni B,Mjini umeme unakatwa
Naambiwa wakikata saa tatu kurudi saa 12 jioni
Ova
Mbezi beach pia mmekata dah mnatuumiza sana ninafanya kazi ya watu Ina deadline naona mmeamua kutukomeshaEneo gani haswa na namba yako ya simu, kila inapotokea katizo taarifa zinatolewa
Wapendwa wateja tunaomba Radhi kwa katizo la umeme laini ya TG 2 muda huu.Mbezi beach pia mmekata dah mnatuumiza sana ninafanya kazi ya watu Ina deadline naona mmeamua kutukomesha
Good job umerudi huku mbezi beach. KudosWapendwa wateja tunaomba Radhi kwa katizo la umeme laini ya TG 2 muda huu.
Mafundi wetu wanafuatilia kujua chanzo Cha katizo ili kuhakikisha huduma inarejea katika hali yake
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza
Naskia kino badoGood job umerudi huku mbezi beach. Kudos
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)Naskia kino bado
Huko wataenda mpaka jioni
Ova