Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Dar es salaam
Kigamboni
Mikwambe, mali asili
Umeme unakatika kila baada ya masaa mawili au matatu unawka tena kila siku imekua hii tqbia kama vile sisi hatuna haki ya msingi ya kutumia umeme tunaonunua kwa pesa zetu wenyewe
Hivi tanzania kweli ifikie hatua nina pesa yangu ya kutaka kutumia umeme na miundo mbinu ipo ila nioate huduma ya umeme kwa tabu sanna kila mara kukatwa kwa umeme kulikoni
Kwa serikali si ilisema hakutakua na kukatika kwa umeme mbona kero tunashindwa kufanya shughuli zetu jamank
Kigamboni
Mikwambe, mali asili
Umeme unakatika kila baada ya masaa mawili au matatu unawka tena kila siku imekua hii tqbia kama vile sisi hatuna haki ya msingi ya kutumia umeme tunaonunua kwa pesa zetu wenyewe
Hivi tanzania kweli ifikie hatua nina pesa yangu ya kutaka kutumia umeme na miundo mbinu ipo ila nioate huduma ya umeme kwa tabu sanna kila mara kukatwa kwa umeme kulikoni
Kwa serikali si ilisema hakutakua na kukatika kwa umeme mbona kero tunashindwa kufanya shughuli zetu jamank