kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,057
Tafadhali tupatie namba yako ya taarifa na namba ya simu kwa hatua zaidiTanesco hivi sisi watu wa Moshi-Kobosho meneo ya Shule ya Msingi Marawa tumewakosea nini? Inaenda wiki ya pili sasa hatuna umeme,Nimetoa taarifa kwenye Tanesco App mara kadhaa,Nikipiga simu hampokei.Chaajabu jirani yangu mwenye line ingine yeye kwake umeme upo! Kama ni hela semeni tuwape ili tupate umeme,Tumechoka na hii adha.
Taratibu zote hizo zipo kwenye mkataba wa huduma kwa wateja je wewe umeomba umeme lini? Wilaya na namba yako ya simu? Je kuna mahali tumekuomba rushwa? Kama ndio nenda TAKUKURU ili sheria ichukue mkondo wake au leta taarifa kamili kwa viongozi wa shirika kwa hatua zaidi badala ya kuchafua taswira yetu bila ushahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nicho ona Voda ongozi wa Tanesco muangalie na kufuatilia kwa makini kero znazotolewa humu, maana wanaochafua taswira ya Tanesco ni baadhi ya watumishi sio wote,mfano unakuta unaenda Tanesco lkn kitendo cha kutatua tatizo linachukua muda mrefu sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile nguzo ni mali ya shirika na sio mteja, ni kama ardhi unayomiliki ila sio yakwako