Tafadhali kama.umekamilisha wiring fika ofisi ya TANESCO ya eneo lako chukua fomu kisha utapatiwa gharama halisi ya makadirio
Eneo nililopo linahitaji kama nguzo Saba,
Wiring nilishaweka. Kukuuliza wewe , nimesikia kina mpango wa umeme Jazilizo kwa mtaa wa Nyankumbu na Mwatulole Mkoani Geita according to Kalemani, je wewe unazo taarifa hizo.?

Sio kila MTU ana muda wa kwenda ofisini kwenu.

Naomba msaada wako.

Currently nipo nje ya mji.
 
Kwa muda sasa kumekuwa na tatizo la upatikanaji wa mita za three phases. Je tatizo nini? Na lini mita hizo zitaanza kupatikana? Nimelipa
 
Hapo moshi eneo la bonite mmeweka nguzo kwenye kiwanja cha watu, wanashindwa kuendelea na ujenzi nguzo itoeni, hayo mambo ya njoo kesho yameshapita

Usianze kuniuliza sijui jina, umri, cheti cha ndoa, sina. Nendeni hapo bonite mkahamishe nguzo. Ni lini mtaacha urasimu nyie tanesco?

Mnamtesa mheshimiwa Rais kufuatilia mambo hata madogo madogo.
 
Fika ofisi ya TANESCO iliopo karibu na wewe na utapatiwa maelezo na hatua zaidi
Pongez kwenu kwa kutoa huduma hii lakin mim nna shida ya kupata huduma ya umeme Katika kijiji chetu cha nzasa mkoani Dodoma hakina umeme mpaka sasa ni utaratibu gani ufanyike ili na sisi tupate umeme maana tunaishia kuona tu kwenye vijiji vya jirani natanguliza shukrani.
 
Hapo moshi eneo la bonite mmeweka nguzo kwenye kiwanja cha watu, wanashindwa kuendelea na ujenzi nguzo itoeni, hayo mambo ya njoo kesho yameshapita

Usianze kuniuliza sijui jina, umri, cheti cha ndoa, sina. Nendeni hapo bonite mkahamishe nguzo. Ni lini mtaacha urasimu nyie tanesco?

Mnamtesa mheshimiwa Rais kufuatilia mambo hata madogo madogo.

Nguzo hiyo hapo chini
Screenshot_20191018-022110.jpeg
 
Pongez kwenu kwa kutoa huduma hii lakin mim nna shida ya kupata huduma ya umeme Katika kijiji chetu cha nzasa mkoani Dodoma hakina umeme mpaka sasa ni utaratibu gani ufanyike ili na sisi tupate umeme maana tunaishia kuona tu kwenye vijiji vya jirani natanguliza shukrani.
Ndugu hawa wajamaa wameacha vijiji vingi bila umeme haswa wa REA kibaya zaidi huwa hawako wazi kukwambia kama kijiji chako kinapata umeme au hakipati sana sana wanakwambia subiri. Pia umeme wa REA wanaweza kuja wakaweka kwenye sehemu muhimu tu kwenye kijiji kama zilipo shule, au vituo vya Afya wakasepa alafu takwimu zinaonesha kijiji chote tayari kina umeme kumbe raia wenye umeme ni 1 kati y 100.Mh Subira Mgalu alitoa namba ya sim watu wamueleze matatizo yahusu umeme nk lakini hata upige mwaka mzima ile namba haipokelewi. Mh Kalemani kila siku utaskia anasisitiza kuwa umeme nyumba kwa nyumba lakini hamna kitu ni stori tu. Tanesco na REA yao wanagawa umeme kwa upendeleo mkubwa sana, kama kijiji chako au kitongoji chako kina mtu mkubwa au matajiri au maeneo muhimu kama shule nk basi hapo waweza kuwa na tumaini lakini kama ni wananchi wakawaida na wale wanyonge wa mh Magufuli suala la umeme sahau. Kibaya zaidi hawa watu hawataki hata kupunguza gharama ili wananchi wajivutie umeme wenyewe mfno kutoka kwenye chanzo cha umeme unakuta kuna km 4 hivi alafu unaambiwa kuna nguzo labda 30 sasa unaambiwa kila nguzo ni 400000/= ! Ni mtanzania gani wa kawaida mwenye uwezo wa kumudu gharama hiyo, washushe bei tujivutie umeme lakini hawataki. Mfno mzuri humu Jukwaani kuna mdau mmoja huko Missenyi Kagera aliwalilia sana takribani miaka kama 3/anabandika nyuzi za kuomba msaada wa Umeme wa REA lakini majibu yao ilikuwa ni SUBIRI nahisi mdau alisha hata kufa. Tanesco au mnataka Mh Rais aongee ndipo mtamsikia? Waambie watu ukweli kuwa REA si ya wote ni ya baadhi ya maeneo teule tu watu wapambane na hali zao.
 
Tanesco nililipia nguzo mblili toka january hadi leo sijapata huduma dasa yapata week ya tatu wameleta nguzo wameacha hapo na hawajasema chochita
Nipo moshi kituo cha huduma ni Himo
Jina: casian kundy wa kirua vunjo moshi
Msaada tafadhali
 
Ndugu hawa wajamaa wameacha vijiji vingi bila umeme haswa wa REA kibaya zaidi huwa hawako wazi kukwambia kama kijiji chako kinapata umeme au hakipati sana sana wanakwambia subiri. Pia umeme wa REA wanaweza kuja wakaweka kwenye sehemu muhimu tu kwenye kijiji kama zilipo shule, au vituo vya Afya wakasepa alafu takwimu zinaonesha kijiji chote tayari kina umeme kumbe raia wenye umeme ni 1 kati y 100.Mh Subira Mgalu alitoa namba ya sim watu wamueleze matatizo yahusu umeme nk lakini hata upige mwaka mzima ile namba haipokelewi. Mh Kalemani kila siku utaskia anasisitiza kuwa umeme nyumba kwa nyumba lakini hamna kitu ni stori tu. Tanesco na REA yao wanagawa umeme kwa upendeleo mkubwa sana, kama kijiji chako au kitongoji chako kina mtu mkubwa au matajiri au maeneo muhimu kama shule nk basi hapo waweza kuwa na tumaini lakini kama ni wananchi wakawaida na wale wanyonge wa mh Magufuli suala la umeme sahau. Kibaya zaidi hawa watu hawataki hata kupunguza gharama ili wananchi wajivutie umeme wenyewe mfno kutoka kwenye chanzo cha umeme unakuta kuna km 4 hivi alafu unaambiwa kuna nguzo labda 30 sasa unaambiwa kila nguzo ni 400000/= ! Ni mtanzania gani wa kawaida mwenye uwezo wa kumudu gharama hiyo, washushe bei tujivutie umeme lakini hawataki. Mfno mzuri humu Jukwaani kuna mdau mmoja huko Missenyi Kagera aliwalilia sana takribani miaka kama 3/anabandika nyuzi za kuomba msaada wa Umeme wa REA lakini majibu yao ilikuwa ni SUBIRI nahisi mdau alisha hata kufa. Tanesco au mnataka Mh Rais aongee ndipo mtamsikia? Waambie watu ukweli kuwa REA si ya wote ni ya baadhi ya maeneo teule tu watu wapambane na hali zao.
Huyu naye anayejiita Tanesco, humu jukwaani mie naona wala hana msaada wowote , hana alijualo.

Bora tufunge tu sola siku ziende.

Umeme ni wa wenye Pesa. (Za kuhonga)
 
Brother huo ndo ujanja wanao tumia Ukiwapa pesa ya Pembeni haitazidi Siku Mbili watakuja kukufungia umeme

Mtaani kwangu kuna mzee alilipia nguzo kama 2 hivi ililuwa February ila kwa kuwa hakuwapa pesa ya pembeni wakaja kumfungia umeme Mwezi wa 6 mwaka ulio fuata

Huku Dodoma ndo umekuwa mtindo wa TANESCO kufanya Kazi yani unalipia Nguzo na Meter ila ina bidi uto 200,000 Mpaka 300,000 ya Pembeni ndo ufungiwe umeme
Tanesco nililipia nguzo mblili toka january hadi leo sijapata huduma dasa yapata week ya tatu wameleta nguzo wameacha hapo na hawajasema chochita
Nipo moshi kituo cha huduma ni Himo
Jina: casian kundy wa kirua vunjo moshi
Msaada tafadhali
 
Nilipia service ya kupata Luku ya 3 phace tangu tar 27 march 2019 mpaka leo nazungushwa tu. nimefualitlia mpaka kwa meneja bado hawajaonekana kuwa masaada. Nimepata hasara kwani imenibindi niweke Mlinzi kulinda moundombinu niliyoisimika ambayo haizalishi.... please tuambie nini kinaendelea. na hii hasara nani anawajibika nayo!
 
Nilipia service ya kupata Luku ya 3 phace tangu tar 27 march 2019 mpaka leo nazungushwa tu. nimefualitlia mpaka kwa meneja bado hawajaonekana kuwa masaada. Nimepata hasara kwani imenibindi niweke Mlinzi kulinda moundombinu niliyoisimika ambayo haizalishi.... please tuambie nini kinaendelea. na hii hasara nani anawajibika nayo!
Kaka Usipotoa toa Hela ya Pembeni 200,000 mpaka 300,000 mitambo yako itaoza na Kutu Sikudanganyi

USIPO JIONGEZA UTASUBILI SANA BRO
 
Kaka Usipotoa toa Hela ya Pembeni 200,000 mpaka 300,000 mitambo yako itaoza na Kutu Sikudanganyi

USIPO JIONGEZA UTASUBILI SANA BRO
Kufanya hivi bila kutoa taarifa kuwa umempa nani au kumpa mtu ni kinyume na sheria tafadhali tufuate sheria na taratibu zilizopo
 
Back
Top Bottom