Tanesco nawapongeza kwa kazi nzuri kwa kweli hari inaridhisha hasa suala la kukatika ovyo umeme sasa hivi halipo labda itokee emergence.
Shida yangu ni kwamba kwa nini gharama ya kuingiza umeme wa mashine ya kusaga na kukoboa mahindi ni kubwa kupita kiasi nauliza naambiwa laki 9 na elfu 12 ndani ya mita 30 maana ake hata iwe ni hatua 1 bei ni hiyo.
Kampeni ya rais nchi ya viwanda sasa kwa gharama hii mbona tunashindwa wengi? REA naambiwa 140,000 tu. Sisi wa Tanesco hapana hata gharama ya material sidhani ka inafika huko.
Bado ukianza kufanya kazi Utalipa kodi zote stahiki sasa kwa nn hiyo bei kubwa sana?????
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mimi ningewashauri mukaanza kuiga nchi za Ulaya, yaani mukaanza kutumia smartmeter. Hizi zitaincurage watu kuekeza kwenye Solar Energy. Nyinyi mutafaidika na wateja (wawekezaji kwenye solarenegy) wtafaidika
 
Mimi ningewashauri mukaanza kuiga nchi za Ulaya, yaani mukaanza kutumia smartmeter. Hizi zitaincurage watu kuekeza kwenye Solar Energy. Nyinyi mutafaidika na wateja (wawekezaji kwenye solarenegy) wtafaidika
Tayari technology hii inatumika TANESCO mpendwa mteja wetu
 
Tanesco nawapongeza kwa kazi nzuri kwa kweli hari inaridhisha hasa suala la kukatika ovyo umeme sasa hivi halipo labda itokee emergence.
Shida yangu ni kwamba kwa nini gharama ya kuingiza umeme wa mashine ya kusaga na kukoboa mahindi ni kubwa kupita kiasi nauliza naambiwa laki 9 na elfu 12 ndani ya mita 30 maana ake hata iwe ni hatua 1 bei ni hiyo.
Kampeni ya rais nchi ya viwanda sasa kwa gharama hii mbona tunashindwa wengi? REA naambiwa 140,000 tu. Sisi wa Tanesco hapana hata gharama ya material sidhani ka inafika huko.
Bado ukianza kufanya kazi Utalipa kodi zote stahiki sasa kwa nn hiyo bei kubwa sana?????
Ndugu mpendwa mteja je umeambiwa kwa mdomo? Ulipatiwa gharama baada ya kupimiwa? Wilaya gani na namba yako ya simu tafadhali
 
Tayari technology hii inatumika TANESCO mpendwa mteja wetu
Tayari technology hii inatumika TANESCO mpendwa mteja wetu
Sifikiri kama kweli inatumika kama hivyo ninavyofikira mimi. Kwa wenzetu unapokuwa na smartmeter, ni kwamba meter inaweka priority kwenye nyumba umeme uaotumika ni ule unaozalishwa na Solar katika nyumba yako. Umeme unaozidi kwa mfano mchana unaigizwa kwenye Net ya Serikali. Mfano kama huna Baterii usiku meta inachukuwa umeme kutoka kwenye Net ya taifa. Sasa mwisho wa mwaka Munapiga Mahesabu Kiasi gani ameingiza kwenye Net na kiasi ga ametumia kutoka kwenye Net, Kama ametumia mwengi kuliko alioingiza inabidi alipe extra, na kama amezalisha mwingi na ameingiza kwenye Net yenu inabidi mumlipe mteja.
Jee hiyo ya kwenu inafanyakazi hivyo au ni smart tu?
 
Habari
Naomba kusaidiwa katika mita namba 43002355196 Kuna baadhi ya namba katika mita hazifanyi kazi na hivyo kufanya kazi ya kuingiza umeme wa luku kuwa ngumu kila nikijaribu ninakaa na giza siku ya nne leo
Nipo
Mkoa wa ruvuma
songea mjini
Kata msamala
Mtaa ostabey
Karibu na office ya mtendaji wa mtaa ostabey
Naomba kusaidiwa tafadhari maana nimechoka kukaa na giza.
0767309201
Asante
 
Kwa kweli mkuu kitengo chenu cha customer service ni ziroo kabisa. Nilipiga simu nikitaka maelezo fulani nikajibiwa Kwa dharau kuwa simu yako inanipigia kelele sikioni na simu kukatwa. It was very embarrassing. Wapeni training has wahudumu was take advantage ya monopoly ya shirika moja la umeme nchini.
TUMEPOKEA TAARIFA KWA HATUA ZAIDI MPENDWA MTEJA WETU
 
Habari!
Niko Kata ya Goba Ubungo Dsm. Nimebadilishiwa Mita Jumamosi. Sikupewa wala sikutoa taarifa ya kubadili mita kwenye nyumba yangu.
Naomba ufafanuzi tafadhali juu ya hilo.
 
KILOLELI MWANZA.

Kuna eneo (line) linapata shida ya kukatika umeme mara kwa mara. Tukiripoti wanafika na kurekebisha, lakini tatizo linaendelea! Kuna nini ambacho mafundi wameshindwa kukipatia ufumbuzi wa kudumu? Ilemela Tanesco tafadhali shughulikieni hili, mnatupa shida sana wakazi wa eneo hili.
 
Habari
Naomba kusaidiwa katika mita namba 43002355196 Kuna baadhi ya namba katika mita hazifanyi kazi na hivyo kufanya kazi ya kuingiza umeme wa luku kuwa ngumu kila nikijaribu ninakaa na giza siku ya nne leo
Nipo
Mkoa wa ruvuma
songea mjini
Kata msamala
Mtaa ostabey
Karibu na office ya mtendaji wa mtaa ostabey
Naomba kusaidiwa tafadhari maana nimechoka kukaa na giza.
0767309201
Asante
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi mpendwa mteja wetu
 
KILOLELI MWANZA.

Kuna eneo (line) linapata shida ya kukatika umeme mara kwa mara. Tukiripoti wanafika na kurekebisha, lakini tatizo linaendelea! Kuna nini ambacho mafundi wameshindwa kukipatia ufumbuzi wa kudumu? Ilemela Tanesco tafadhali shughulikieni hili, mnatupa shida sana wakazi wa eneo hili.
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja wetu
 
Habari!
Niko Kata ya Goba Ubungo Dsm. Nimebadilishiwa Mita Jumamosi. Sikupewa wala sikutoa taarifa ya kubadili mita kwenye nyumba yangu.
Naomba ufafanuzi tafadhali juu ya hilo.
Tulitoa taarifa za zoezi la kubadili mita zilizokwisha muda wake hivyo kama ni mafundi wetu walifika basi ni muendele?o wa zoezi hilo
 
Kwa kweli mkuu kitengo chenu cha customer service ni ziroo kabisa. Nilipiga simu nikitaka maelezo fulani nikajibiwa Kwa dharau kuwa simu yako inanipigia kelele sikioni na simu kukatwa. It was very embarrassing. Wapeni training has wahudumu was take advantage ya monopoly ya shirika moja la umeme nchini.
Tunaomba namba ya simu uliyopiga? Eneo lako na namba yako ya simu ya mkononi tufatilie swala lako
 
Tulitoa taarifa za zoezi la kubadili mita zilizokwisha muda wake hivyo kama ni mafundi wetu walifika basi ni muendele?o wa zoezi hilo

Asante sana kwa taarifa/ufafanuzi.
Wakati mita unabadilishwa ilikuwa na uniti 39. Je nazo nitarejeshewa au zimeenda na mita?
 
Nimegundua tanesco so wafuatiliaji,,niliomba kubadilishiwa tariff huu ni mwezi wa saba au sits sijajibiwa mini tatizo
 
Tanesco Kigoma tunaombeni mtufahamishe kuna tatizo gani, mbona hivi sasa kumekuwepo na tatizo la kukatikatika kwa umeme?
TANESCO Kigoma tunaomba mtupe maelezo ya tatizo hilo na lini litakwisha.
 
Tanesco naomba msaada aisee Nimelipia kuunganishiwa umeme kwa nguzo mbili ila sasa ni mwezi wa tano sasa naona kimya
 
Tanesco Kigoma tunaombeni mtufahamishe kuna tatizo gani, mbona hivi sasa kumekuwepo na tatizo la kukatikatika kwa umeme?
TANESCO Kigoma tunaomba mtupe maelezo ya tatizo hilo na lini litakwisha.
KIGOMA ENEO GANI

SIMU TAFADHALI
 
Back
Top Bottom