UNGEINGIA KWENZMYE UZI WA TANESCO WANGEKUSAIDIA ILA NIMESAHAU SIJUI UKO JUKWAA GANI
 
UNGEINGIA KWENZMYE UZI WA TANESCO WANGEKUSAIDIA ILA NIMESAHAU SIJUI UKO JUKWAA GANI
 
Jina: Shabani Mtonga
Eneo: Mtaa wa Mvuleni, kata ya Kitonga, Wilaya ya Ilala Mkoani Dar es Salaam
Tatizo: Nililipia UMEME tarehe 18.03.2019, wiki mbili zilizopita nimeletewa nguzo 2 na kuahidiwa mnamo tarehe 27.07.2019 ningeletewa mita na kufungiwa nyaya za UMEME lakini mpaka Sasa bado huduma haijakuja.
Simu: current phone number0763531628/ Namba ya awali niliyoandika Tanesco KISARAWE wakati wa kulipia ni 0713673276 ambayo kwa Sasa haipo hewani. Thanks.
Kazi hii imekamilika mpendwa mteja wetu
 
TANESCO nasikitika sana. Yaani muda wote tulikosa umeme kwa sababu za watu binafsi.


Leo waziri kasema hakuna kulipia nguzo. Na familia ya nyumbani wakati nikiwa chuo walitaka kuunganisha umeme wa REA ila.mradi ulikuwa unasua sua mwezi wa kumi na moja ndo wakakumbuka na baadhi ya wateja kulipia alafu wakakaa muda mrefu hadi wa 3 mwaka huu wakaunga chapchap na kukabidhi TANESCO mapema mwezi wa tano.

Nyumbani walikuwa wamefanya taratibu za REA ila ikakabidhiwa so gharama tukaambiwa ni laki 5 wakihesabu nguzo mbili na mita.

Tunaomba mmlike hili suala ikiwa waziri amesema hatulipii nguzo basi fatilia tulipie vinavyotakiwa kulipiwa. Mtuondolee kero.


Location:

Mkoa Mara
Wilaya-Tarime
Kata-Kemambo
Kijiji-Kewanja
Kitongoji-Kemambo
Namba yako ya simu na huduma unayoiomba tafadhali
 
TANESCO KIMARA KWA MARA NYINGINE HAKIKA MNAKERA.HII NI MARA YA PILI MNAKATA UMEME MIDA YA ALFAJIRI SANA BILA TAARIFA YOYOTE KWA WAKAAZI WA KIMARA.MNATEGEMEA FAMILIA ZITAJIANDAA VIPI NA MASWALA YA ASUBUHI KABLA YA KUANZA PILIKAPILIKA.

NAOMBA NIWASISITIZE TENA KUZINGATIA KUFANYA KAZI KWA KUTOA TAARIFA NA UWELEDI.

ASUBUHI HII YOTE MNATAKA TUKANYOOSHE NGUO WAPI NA KWA NN KWA SIKU HIZI MBILI UMEME UKATIKE ASUBUHI TU.
Huduma imerejea mpendwa mteja wetu
 
Mrejesho: Nawashukuru sana Tanesco nimepata huduma ya kufungiwa nyaya na Mita mnamo tarehe 02.08.2019. Nawapongeza kwa kufanyia kazi kero za wananchi kupitia Jambo Forum.
Thanks
 
Mrejesho: Nawashukuru sana Tanesco nimepata huduma ya kufungiwa nyaya na Mita mnamo tarehe 02.08.2019. Nawapongeza kwa kufanyia kazi kero za wananchi kupitia Jambo Forum.
Thanks
Tunashukuru sana mpendwa mteja wetu
 
Nimetuma namba lkn bado hamjanipigia
Kijiji cha Mungushi kilipatiwa umeme kupitia Mradi wa TANESCO unaofadhiliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) yaani REA phase 2 mnamo mwaka 2016, ambapo vitongoji vya Masinonda, Mwangaza na Mungushi kati vilifikishiwa umeme na kubaki kitongoji kimoja cha Nkwamakuu.
Tunatarajia kupitia mradi ujao wa kuongeza Utoshelevu wa usambazaji umeme (Densification) kitongoji cha Nkwamakuu kitaweza kufikishiwa huduma ya Umeme.
Hivyo tunaomba Mteja wetu tarajiwa asiwe na hofu kwa sababu kitongoji chake kipo kwenye mpango ujao wa kukamilisha kuvifikia vitongoji vyote 45 vilivyobaki kwa Wilaya ya Hai. Asante.
 
TANESCO, sijajua kama mmetoa ufafanuzi kwa hali ya upatikanaji wa umeme haswa wilaya ya kilombero. Miji ya ifakara ni siku ya tatu sasa hatuna umeme.

Nini shida?
 
Kijiji cha Mungushi kilipatiwa umeme kupitia Mradi wa TANESCO unaofadhiliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) yaani REA phase 2 mnamo mwaka 2016, ambapo vitongoji vya Masinonda, Mwangaza na Mungushi kati vilifikishiwa umeme na kubaki kitongoji kimoja cha Nkwamakuu.
Tunatarajia kupitia mradi ujao wa kuongeza Utoshelevu wa usambazaji umeme (Densification) kitongoji cha Nkwamakuu kitaweza kufikishiwa huduma ya Umeme.
Hivyo tunaomba Mteja wetu tarajiwa asiwe na hofu kwa sababu kitongoji chake kipo kwenye mpango ujao wa kukamilisha kuvifikia vitongoji vyote 45 vilivyobaki kwa Wilaya ya Hai. Asante.
Asante sana kwa majibu mazuri.

Nimepata response nzuri kutoka TANESCO makao makuu na pia ofisi ya TANESCO Wilaya ya Hai.

Tunafurahi mnavyokuwa karibu na wateja.
 
Kijiji cha Mungushi kilipatiwa umeme kupitia Mradi wa TANESCO unaofadhiliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) yaani REA phase 2 mnamo mwaka 2016, ambapo vitongoji vya Masinonda, Mwangaza na Mungushi kati vilifikishiwa umeme na kubaki kitongoji kimoja cha Nkwamakuu.
Tunatarajia kupitia mradi ujao wa kuongeza Utoshelevu wa usambazaji umeme (Densification) kitongoji cha Nkwamakuu kitaweza kufikishiwa huduma ya Umeme.
Hivyo tunaomba Mteja wetu tarajiwa asiwe na hofu kwa sababu kitongoji chake kipo kwenye mpango ujao wa kukamilisha kuvifikia vitongoji vyote 45 vilivyobaki kwa Wilaya ya Hai. Asante.
Siku hata mimi nikipata jibu kama hili nitafurahi sana Tanesco chondechonde nazidi kuvumilia kama mlivyo nihaidi kuwa suala la Kitongoji cha KIJUKA kijiji Mabuye wilaya ya Missenyi linashughuliwa. Nawaomba saaaaana jamani mzidi kukumbuka juu ya hili ili nasisi tuweze walau kuifaidi umeme.
 
Siku hata mimi nikipata jibu kama hili nitafurahi sana Tanesco chondechonde nazidi kuvumilia kama mlivyo nihaidi kuwa suala la Kitongoji cha KIJUKA kijiji Mabuye wilaya ya Missenyi linashughuliwa. Nawaomba saaaaana jamani mzidi kukumbuka juu ya hili ili nasisi tuweze walau kuifaidi umeme.
Ndugu mpendwa mteja wetu taarifa za wilaya ya Misenyi tumelijibu na kulitolea ufafanuzi mara kadhaa tunaomba uvumilivu wako
 
Write your reply...Tanesco mnafeli wapi?Mwanza-Ilemela kata ya Nyamhongoro kuna mtaa hauna Umeme hata Nguzo hakuna na kuna watu wengi,REA waligoma kupeleka umeme kuwa siyo kijijini,Nyie hata kujishughulisha hakuna,watu wameshafuatilia hadi wamechoka,ahadi zimekuwa haziishi.....!!!Tokeni maofisini fanyeni kazi,hawa wananchi hamuwawekei umeme bure,wanawalipa,kwanini msifanye kazi yenu?
 
Write your reply...Tanesco mnafeli wapi?Mwanza-Ilemela kata ya Nyamhongoro kuna mtaa hauna Umeme hata Nguzo hakuna na kuna watu wengi,REA waligoma kupeleka umeme kuwa siyo kijijini,Nyie hata kujishughulisha hakuna,watu wameshafuatilia hadi wamechoka,ahadi zimekuwa haziishi.....!!!Tokeni maofisini fanyeni kazi,hawa wananchi hamuwawekei umeme bure,wanawalipa,kwanini msifanye kazi yenu?
 
Back
Top Bottom