mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Nililitarajia jibu hili,Tanesco Kigamboni kuna matatizo makubwa sana,kasi ya utendaji haiendani na kauli mbiu ya uchumi wa viwanda ,mpo kisiasa zaidi ngoja tusubiri ziara ya Mh.Rais labda ataondoa kero ya umeme Tanesco Kigamboni.