TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #6,301
Tunaomba namba yako ya simu kuifatilia na kuifanyia kazi mpendwa mteja wetuTANESCO kuna shida gani katika mradi wa REA Moshi vijijini eneo la SHABAHA wamesimika nguzo na kutandaza waya baadhi ya maeneo ila ni zaidi ya mwez sasa hakuna kinachoendelea. Nini kinakwamisha kuunganishia watu umeme tuendeshe viwanda vyetu?