Huko ni uswahilini na walituomba tusiziwashe tutawaharibia mishe zao. Tuliheshim mawazo yao
Tunaomba maelezo zaidi ya mapendekezo yako ya nini kiboreshwe mpendwa mteja wetuTanesco mnafeli wapi kumpangia mteja matumizi ya umeme..... fanyeni kama vifurushi kwenye mitandao ya simu mtu atumie umeme tokana na pesa yake.... Tuondoeni kwenye utumwa huo.
Hamkuliona b4?hamuoni mlipoteza pesa bure?
Huu utaratibu wa mtu mwenye matumizi makubwa akinunua umeme anapata units ndogo na mwingine akinunua kwa bei ileile anapata nyingi kisa yeye anamatumizi madogo huu sio utaratibu mzuri.... pendekezo langu ni kwamba umeme wa fedha kadhaa uwe na specific units... sio units za elfu kumi za mteja fulani zitofautiane na za mteja mwingine. Mtu atumie umeme tokana na mfuko wake ukiisha kabla ya mwezi anaweza ongeza kwa units sawa na mtu anaemaliza mwezi kwa units zilezile.... nawasilisha....Tunaomba maelezo zaidi ya mapendekezo yako ya nini kiboreshwe mpendwa mteja wetu
Tunaomba maelezo zaidi ya mapendekezo yako ya nini kiboreshwe mpendwa mteja wetu
Ndugu mpendwa mteja wetu swala hili tunalifanyia kaziPia kwanini ukinunua luku haiwezi kujiingiza yenyewe kama kwenye ving'amuz vya tv?? Mfano ukinunua bando la startimes kwenye simu, automatically kingamuzi chenyewe kinaji unlock, hauna haja ya kwenda tena kwenye kingamuz uanze kuingiza manamba.. Inabid mbadilike.. pia itakua rahisi kwa mtu kumnunulia mwingine units kama vile ilivyo kwenye mtu kutumiwa vocha ya simu
Tunaomba maelezo zaidi ya mapendekezo yako ya nini kiboreshwe mpendwa mteja wetu
naona unapigia mbuzi gitaaPia kwanini ukinunua luku haiwezi kujiingiza yenyewe kama kwenye ving'amuz vya tv?? Mfano ukinunua bando la startimes kwenye simu, automatically kingamuzi chenyewe kinaji unlock, hauna haja ya kwenda tena kwenye kingamuz uanze kuingiza manamba.. Inabid mbadilike.. pia itakua rahisi kwa mtu kumnunulia mwingine units kama vile ilivyo kwenye mtu kutumiwa vocha ya simu
Kuna wilaya inaitwa Tarime, sijawahi kuona sehemu yenye shida ya umeme kama pale, karibia kila siku umeme unakatika, sijui tatizo ni nini! Yaani utafikiri watoto wanachezea swichi, kuwasha na kuzima. Kila siku shida ni hiyo hiyo, kukata Mara baada ya dk tano unarudi, wakati mwingine usiju mji mzima hakuna umeme! Yaani ni shida tupu.Tunaomba maelezo zaidi ya mapendekezo yako ya nini kiboreshwe mpendwa mteja wetu
Eneo gani na namba yako ya simu mpendwa mteja wetuKuna wilaya inaitwa Tarime, sijawahi kuona sehemu yenye shida ya umeme kama pale, karibia kila siku umeme unakatika, sijui tatizo ni nini! Yaani utafikiri watoto wanachezea swichi, kuwasha na kuzima. Kila siku shida ni hiyo hiyo, kukata Mara baada ya dk tano unarudi, wakati mwingine usiju mji mzima hakuna umeme! Yaani ni shida tupu.