Tanesco jamani mimi nimenyoosha mikono kupata umeme kwenu imekuwa ngumu sana siku nikipata nauli itabidi niwafuate huko Darisalama
 
Habarini za kazi, katika kijiji cha Munjebwe, Rulenge Ngara, nguzo za umeme HT zimepita upande wa pili wa barabara approx. 150 m, na upande wa pili ambapo Kuna nyumba za wahitaji wa umeme hakuna nguzo za usambazaji na tunaambiwa REA wameshamaliza kazi katika eneo Hilo hivyo tuwafuate Tanesco na nyinyi bei ya kuweka nguzo ni kubwa kuliko uwezo wa wananchi, je, mnawasaidiaje wananchi hao?
Hakuna mgao mpendwa mteja wetu bali ni hitilafu zinazotokea na hatua stahiki huchukuliwa
 
Habarini za kazi, katika kijiji cha Munjebwe, Rulenge Ngara, nguzo za umeme HT zimepita upande wa pili wa barabara approx. 150 m, na upande wa pili ambapo Kuna nyumba za wahitaji wa umeme hakuna nguzo za usambazaji na tunaambiwa REA wameshamaliza kazi katika eneo Hilo hivyo tuwafuate Tanesco na nyinyi bei ya kuweka nguzo ni kubwa kuliko uwezo wa wananchi, je, mnawasaidiaje wananchi hao?
Kuna awamu mbalimbali za utekelezaji wa miradi ya REA hivyo wateja wanaokusa kwenye awamu moja tunawaomba wasubiri awamu ya pili
 
Habarini za kazi, katika kijiji cha Munjebwe, Rulenge Ngara, nguzo za umeme HT zimepita upande wa pili wa barabara approx. 150 m, na upande wa pili ambapo Kuna nyumba za wahitaji wa umeme hakuna nguzo za usambazaji na tunaambiwa REA wameshamaliza kazi katika eneo Hilo hivyo tuwafuate Tanesco na nyinyi bei ya kuweka nguzo ni kubwa kuliko uwezo wa wananchi, je, mnawasaidiaje wananchi hao?
Kuna awamu mbalimbali za utekelezaji wa miradi ya REA hivyo wateja wanaokusa kwenye awamu moja tunawaomba wasubiri awamu ya pili
 
Mimi ni mteja mwenye mita namba 54151170302 kimara mwisho. Mtaani kwetu nyumba kama sita hatuna umeme ikiwemo ya kwangu . Jana ijumaa ulikatika siku nzima ukarud usiku saa tatu na leo jumamosi ni umekatika asubuhi mpaka mida hii haujarudi. Je kuna tatizo gani ktk hizi nyumba chache kupelekea kukosa umeme ???
 
Msaada ,Mimi ni mteja mwenye namba 24211502166 naingiza umeme siku nzima mashine ina load na kujibu Error 00 msaada
 
Msaada ,Mimi ni mteja mwenye namba 24211502166 naingiza umeme siku nzima mashine ina load na kujibu Error 00 msaadatlk
 
TANESCO mjitathimini uendeshaji wenu wa shirika kwani ni miaka na miaka sasa imepita tatizo la kukatika umeme imekuwa kero utadhani ndo SERA YA TAIFA.

Ifike wakati tuache mazoea,umeme ndo kila kitu katika ukuaji wa uchumi wa nchi nyingi dunia kwan big investment zinategemea sana umeme lakini pia hata watu wa kawaida wanategemea umeme kuingiza kipato na kipato kinavyoingia kwa mtu mmoja mmoja ndio uchumi unakuwa lakini pia stability ya umeme inavutia wawekezaji.
Naomba niwakumbushe Rais wetu alisema hii ni Tz ya viwanda je na nyinyi mnalijua hili?? Ukizungumzia kiwanda unazungumzia na umeme.

Kwa kuhitimisha tuache mazoea kazini,tuwe wabunifu and tutumie elimu zetu kwa ndugu zetu wa Tz kwa mustakabali wa taifa hili linaloendelea.
 
Tanesco Kibaha pwani.
Kongowe barabara ya Soga hakuna umeme siku ya nne leo. Je mna habari?
 
TANESCO mjitathimini uendeshaji wenu wa shirika kwani ni miaka na miaka sasa imepita tatizo la kukatika umeme imekuwa kero utadhani ndo SERA YA TAIFA.

Ifike wakati tuache mazoea,umeme ndo kila kitu katika ukuaji wa uchumi wa nchi nyingi dunia kwan big investment zinategemea sana umeme lakini pia hata watu wa kawaida wanategemea umeme kuingiza kipato na kipato kinavyoingia kwa mtu mmoja mmoja ndio uchumi unakuwa lakini pia stability ya umeme inavutia wawekezaji.
Naomba niwakumbushe Rais wetu alisema hii ni Tz ya viwanda je na nyinyi mnalijua hili?? Ukizungumzia kiwanda unazungumzia na umeme.

Kwa kuhitimisha tuache mazoea kazini,tuwe wabunifu and tutumie elimu zetu kwa ndugu zetu wa Tz kwa mustakabali wa taifa hili linaloendelea.
*SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA KUKATIKA KWA UMEME*

*1. Utangulizi*
Kwa muda mrefu kumekuwa na uelewa kutoka kwa wateja wetu kuwa kila umeme unapokatika TANESCO WAMEKATA. Tumeona ni vyema tukatoa
Maelezo kwa ufupi ili wateja wetu waelewe sababu za kiufundi na zisizo za kiufundi, zilizo ndani ya uwezo wa TANESCO na zisizo ndani ya uwezo wa TANESCO.

*2. Sababu za TANESCO Kukata Umeme*

TANESCO itakata tu umeme endapo kuna sababu zifuatazo *BILA* kuwataarifu wateja:-
a) Kuna mali inaungua (Mf. nyumba, kiwanda au mtambo)
b) Kuna mtu kanaswa na umeme.
c) Dharura _emergencies_ (imeelezwa hapo chini namba 4)

*3. TANESCO itakata umeme baada ya kuwataarifu wateja - _Planned Interruptions_ endapo:-*

a) Kuna matengenezo Kinga yaliyopangwa kufanyika ili kuimarisha miundombinu _Planned Preventive Maintanance_ (Mf. Kubadili nguzo zilizooza, kubadili waya chakavu, kubadili transfoma ili kuongeza uwezo wa umeme nk)
b) Matengenezo ya kila mara _Routine Maintanance_ (Mf. Kukata miti inayogusa line za umeme, kukagua vikombe na vifaa vingine kwenye line)
c) Kumuunga mteja mkubwa kwenye line ya msongo mkubwa wa umeme 11kV au 33kV

*4. SABABU zinazoweza kusababisha umeme kukatika kwa dharura _Emergency cases_* nyingi ni Unplanned Interruptions

a) Za kiasilia _Natural Calamities_ (Mf. Radi kupiga transfoma, mvua au upepo mkali kuangusha nguzo, kukata waya, miti au minazi au matawi ya miti kuangukia line, mafuriko, wanyama kama komba, nyani, nyoka, kunguru kunasa kwenye mifumo ya umeme nk.

b) Hujuma za kibinadamu _Sarbotage_
(Mf. Transfoma kuibiwa mafuta, kuibwa nyaya za umeme, nguzo kuchomwa moto na kuanguka, nguzo kubwa kuibiwa vyuma na kuanguka, magari kugonga nguzo za umeme na kuanguka, malori marefu kwenda juu kukata waya za umeme, wateja kukata miti ikaangukia kwenye line nk.

Hizi ni baadhi tu ya sababu za msingi zinazoweza kusababisha umeme Kukatika. Hivyo ieleweke kuwa sio kila KUKATIKA KWA UMEME -TANESCO wamekata ni suala pana linalohitaji kujua sababu. Wakati mwingine kwa maelezo hayo hapo juu, Umeme unakatika hata TANESCO inabidi kufuatilia mifumo ili kujua sababu za kukatika.

*5. Hitimisho*
Tunajua jukumu la TANESCO ni kuhakikisha wateja wanapata umeme wa uhakika, pia ni ukweli kuwa mifumo mingi ya TANESCO ni ya muda mrefu hivyo inahitaji ukaratabati wa mara kwa mara na uwekezaji mkubwa ambao sote tumeona jitihada zinazofanywa na Serikali ili TANZANIA iwe na umeme wa uhakika.

Tunaomba umma uelewe sababu hizi na kuwa kama viongozi tunaamini hakuna mfanyakazi wa TANESCO anaweza kulihujumu Shirika kwa kukata umeme bila sababu au kukata umeme bila kufuata maagizo na utaratibu wa kukata line uliowekwa. Sio kila mfanyakazi au fundi anaweza kukata umeme. Upo utaratibu tena wakati mwingine wa kimaandishi unaompa fundi ruhusa, kabla ya kukata umeme. Kama yupo na anafahamika ( _Kama baadhi ya wateja wetu wanavyotuhumu_) tunaomba ushirikiano wenu ili tuweze kumshughulikia kwa taratibu za kisheria na tutakuwa tumelisaidia Shirika na serikali kwa ujumla.

TANESCO
_*Tunayaangaza Maisha Yako*_
 
@ TANESCO utaratibu wa kuifungua meter mpya ukoje?
Maana nimefanyiwa installation na meter mpya, imewekewa Unit 10, nataka niongeze kwa kununua unit kwenye simu, inanikatalia.
20190512_190036.jpeg
 
Huku ifakara nishida has a unapokuwa na tatizo maeneo ya viwandani mafundi has a wale wa EMEGENCE nitatizo
 
Hivi Tanesco mnafanyaje kazi Maofisini humu ndani ya utawala huu wa awamu ya tano?

Je mnatofautiana job description zenu Kati ya mkoa na mkoa? Nimefuatilia sana Suala la kupunguziwa matumizi kutoka makubwa kuja madogo, licha ya mizunguko mingi bado nilivumilia. Lakini mwisho mlichokitaka nikatimiza.

Suala la kubadilishwa kuja matumizi madogo inachukua Mwezi mzima? Sijapata kuona kutoka kwenu. Ofisi ya tanesco Kigamboni tangu inijazishe fomu ya kupunguza matumizi na kuahidiwa Kuwa Watakuja kukagua Vyombo vya umeme nilivyo navyo Leo ni Mwezi mzima umetimia, na wala hawajaonekana. Je huu utaratibu wa Mwezi mzima unatumika Dar tu? Inakuwaje mnatofautiana na mikoa mingine?
 
Hivi Tanesco mnafanyaje kazi Maofisini humu ndani ya utawala huu wa awamu ya tano?

Je mnatofautiana job description zenu Kati ya mkoa na mkoa? Nimefuatilia sana Suala la kupunguziwa matumizi kutoka makubwa kuja madogo, licha ya mizunguko mingi bado nilivumilia. Lakini mwisho mlichokitaka nikatimiza.

Suala la kubadilishwa kuja matumizi madogo inachukua Mwezi mzima? Sijapata kuona kutoka kwenu. Ofisi ya tanesco Kigamboni tangu inijazishe fomu ya kupunguza matumizi na kuahidiwa Kuwa Watakuja kukagua Vyombo vya umeme nilivyo navyo Leo ni Mwezi mzima umetimia, na wala hawajaonekana. Je huu utaratibu wa Mwezi mzima unatumika Dar tu? Inakuwaje mnatofautiana na mikoa mingine?
Ndugu mpendwa mteja wetu sio kila anayeomba kubadilishiwa matumizi anabadilishiwa hapo hapo.kwanxa lazima akidhi vigezo pili tunaenda kumkagua nyumbani kwake.
 
ingekua mjibu comment ndio muingia front ningeelewa kitu ila hapa ni kutiana moyo kwa ushauri ila Ofisini tukija tunakuta watu wengine,shida bin shida
 
Back
Top Bottom