TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Mimi nina tatizo nimefungiwa umeme wa rea ijumaa iliyopita nimkapewa unit 9 saiv zimeisha nimewaomba tanesco mkoa niliopo wanisajilie mita ili niweze kununua umeme wananisumbua tu kila muda wanasema wanafatilia cjui nifanye nini ili niweze kutumia huduma ya kununua luku niondokane na giza
 
Mimi nina tatizo nimefungiwa umeme wa rea ijumaa iliyopita nimkapewa unit 9 saiv zimeisha nimewaomba tanesco mkoa niliopo wanisajilie mita ili niweze kununua umeme wananisumbua tu kila muda wanasema wanafatilia cjui nifanye nini ili niweze kutumia huduma ya kununua luku niondokane na giza
Namba ya simu

Namba ya mita

Wilaya yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kupanda juu ya bati kuweka umeme du si sawa, habari zaidi katika pichaView attachment 1016368
Screenshot_20190207-234024_Instagram.jpeg
Screenshot_20190207-234024_Instagram.jpeg
Screenshot_20190207-234222_Instagram.jpeg
Screenshot_20190207-234213_Instagram.jpeg
Screenshot_20190207-234213_Instagram.jpeg
Screenshot_20190207-234205_Instagram.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mita:43131643769
kiasi:5000
namba:0762809174
trh:06/02/19
naomba umeme sijapata
 
Nilichomeka kwenye umeme remote ili kuingiza unit ikapiga shoti.

Ikotoa moshi.
Baadae ikawa haipokei umeme kabisa na wala betri haikubali.

Nikaenda kuripoti physically ofisi za Kigamboni wakanambia hakunaga spea ikifa ndo ishatoka..

Wakanielekeza namna ya kutumia remote ya jirani ndo nnayotumia ila inachosha.
Na ni kero.

Naomba ufafanuzi kutoka kwenu kupitia jukwaa hili ili na wengine wajifunze.

Majibu yatanipa muongozo wa kuuliza swali au ombi la pili.
Asante.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichomeka kwenye umeme remote ili kuingiza unit ikapiga shoti.

Ikotoa moshi.
Baadae ikawa haipokei umeme kabisa na wala betri haikubali.

Nikaenda kuripoti physically ofisi za Kigamboni wakanambia hakunaga spea ikifa ndo ishatoka..

Wakanielekeza namna ya kutumia remote ya jirani ndo nnayotumia ila inachosha.
Na ni kero.

Naomba ufafanuzi kutoka kwenu kupitia jukwaa hili ili na wengine wajifunze.

Majibu yatanipa muongozo wa kuuliza swali au ombi la pili.
Asante.



Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba namba yako.ya simu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mkazi wa eneo la Ludete, karibu na shule ya msingi Ludete. Na. ya simu ni 0673364534. Karibu na shule juu kama mita 40 kuna jengo la kanisa jipya. Juu ya kanisa hilo nyumba ya 3 ndiyo nyumbani. Nipo mkoa wa Geita, wilaya ya Geita, Tarafa ya Katoro, Kata ya Ludete, kitongoji cha Stamico. Mita na. 24219820909. Baada ya utangulizi huo shida ni kama ifuatavyo : tarehe 27/01/2019 eneo la Ludete kwangu na kwa baadhi ya majirani baada umeme kurudi jioni tulijikuta tupo gizani waliotuzunguka wengine wanao umeme. Asubuhi ya 28/01/2019 tulianza kuhangaika kwani eneo lilikuwa kubwa hadi Katoro madukani. Nilipoona kwenye simu namba imehifadhiwa TANESCO dharura nikapiga kumbe Urambo Tabora. Nikaambiwa tatizo hutokea wakati unaweka salio. Nikapewa maelekezo ya kufuata bado shida haikwisha. Baada ya kugundua nawasiliana na Urambo nilitafuta na. ya Geita nikawasiliana nao wakanipa maelekezo tena kama imejitokeza hivyo ninunue umeme nikafanya hivyo ila kabla ya kuuweka hali ilirudi kawaida. Kwa kuwa nilikuwa kwenye punguzo nikautunza hadi tarehe 5/2/2019 kuuweka zikaja unit kidogo. Leo 11/02/2019 nikapiga Geita kuhusiana na jinsi ilivyotokea nikajibiwa kuwa tatizo litakuwa kununua umeme mara 2 katika mwezi mmoja system itakuwa imeniondoa. Nikaambiwa hakuna uwezekano wa kurejesha katika punguzo. Ninachoomba kuuliza au kama nilivyoeleza hapo juu nilitekeleza maelekezo ya ofisi kununua umeme na japo sikuutumia hadi tarehe niliyozoea kuweka naambiwa nimekosea na hakuna uwezekano. Nawasilisha nikiomba ufumbuzi wa tatizo la kurejeshwa kwenye punguzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mkazi wa eneo la Ludete, karibu na shule ya msingi Ludete. Na. ya simu ni 0673364534. Karibu na shule juu kama mita 40 kuna jengo la kanisa jipya. Juu ya kanisa hilo nyumba ya 3 ndiyo nyumbani. Nipo mkoa wa Geita, wilaya ya Geita, Tarafa ya Katoro, Kata ya Ludete, kitongoji cha Stamico. Mita na. 24219820909. Baada ya utangulizi huo shida ni kama ifuatavyo : tarehe 27/01/2019 eneo la Ludete kwangu na kwa baadhi ya majirani baada umeme kurudi jioni tulijikuta tupo gizani waliotuzunguka wengine wanao umeme. Asubuhi ya 28/01/2019 tulianza kuhangaika kwani eneo lilikuwa kubwa hadi Katoro madukani. Nilipoona kwenye simu namba imehifadhiwa TANESCO dharura nikapiga kumbe Urambo Tabora. Nikaambiwa tatizo hutokea wakati unaweka salio. Nikapewa maelekezo ya kufuata bado shida haikwisha. Baada ya kugundua nawasiliana na Urambo nilitafuta na. ya Geita nikawasiliana nao wakanipa maelekezo tena kama imejitokeza hivyo ninunue umeme nikafanya hivyo ila kabla ya kuuweka hali ilirudi kawaida. Kwa kuwa nilikuwa kwenye punguzo nikautunza hadi tarehe 5/2/2019 kuuweka zikaja unit kidogo. Leo 11/02/2019 nikapiga Geita kuhusiana na jinsi ilivyotokea nikajibiwa kuwa tatizo litakuwa kununua umeme mara 2 katika mwezi mmoja system itakuwa imeniondoa. Nikaambiwa hakuna uwezekano wa kurejesha katika punguzo. Ninachoomba kuuliza au kama nilivyoeleza hapo juu nilitekeleza maelekezo ya ofisi kununua umeme na japo sikuutumia hadi tarehe niliyozoea kuweka naambiwa nimekosea na hakuna uwezekano. Nawasilisha nikiomba ufumbuzi wa tatizo la kurejeshwa kwenye punguzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumepokea maelezo yako tunayapitia na kukupatia maelezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna laini yetu imepata hitilafu wataalamu wetu wanaifanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeunga unga nika pata pesa ya wayaring huduma ya nguzo ilikuwa mbali ilihitajika nguzo2 ili Umeme ufike kwangu nika vuta subila baada miaka kadhaa kupita jirani akapata huduma hivyo ikawa jirani na kwangu kuipata huduma hiyo
Nikashawishika nika uzaa baadhi ya sehem ya kiwanja changu ili niweze kupata huduma ya Umeme
Nikafanikiwa kuuza nikaenda tanesko kufuata taratibu zote kuanzia kuchukua form mpaka na kujaza
Nikaambiwa nitapewa jibu ilichukua miez 2 na dhaid kupewa jibu kwamba natakiwa kulipia kiasi cha laki 3 naa ndio niweze kupata huduma ya Umeme
Wakati huo pesa niliyouza kiwanja nilishailia ubwabwa si unajua hela inakaa kwenye hela na sina nafasi tena ya kupata pesa kama ile jee upo uwezekano Wa kulipa kidogo kidogo?
Kwenye ghalama nilizojumulishiwa na nguzo ikiwemo je nguzu hii itakuwa Mali yangu au ya tanesko?
Ahsante naomba ufafanuzi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
86 Reactions
Reply
Back
Top Bottom