MAGONJWA HATARI NA RAHISI KUAMHUKIZANA KULIKO HATA UKIMWI!
Mi nimejifunza kuwa Madaktari wa Tanzania hawaongei chochote kuhusu magonjwa kama vile;
1. Herpes simplex virus
2. Human papillomavirus infection (hpv)
Magonjwa haya kwa kiasi kikubwa sana yamewaadhiri Watanzania wengi na hasa watoto kupitia kwa wazazi na wazazi tokea kwa watoto mfano watoto kuambukizana mashuleni kama vile kushirikiana vitu kama kugawiana peremende toka mdomoni nk kisha wakifika nyumbani uwaambukiza watoto wenzao na hata wazazi wao, ndugu, jamaa wanaoishi nao kwa karibu.
Je kwanini msianze program maalum ya kuelimisha watu waziwazi maana hili janga ni kubwa sana na huu ugonjwa ni rahisi mno kusambaa au kuambukizana pengine kuliko magonjwa yote? Mwisho wa siku mgonjwa anaishia na kansa. Ebu fualitieni uone watu wana hali mbaya na sababu ya kutojua wanafikiri wamelogwa!
Watu wanateketea sana sana kwa kukosa maarifa toka kwa wataalamu. Si kila mgonjwa hapa anapata magonjwa haya kupitia ngono!
Dalili;
1. Mafua ya mara kwa mara
2. Kuumwa kichwa
3. Kubadilika rangi ya ngozi
4. Vipele vya ajabu ajabu kifuali, sehemu za siri, mgongoni nk
5. Kuwaka moto sehemu za siri na maumivu makali yasiyoeleweka
6. Kupata vitu kama vidonda ambavyo vipele vidogo vidogo vilivyojikusanya pamoja na baadae ubadilika kama mtu aliungua kwa maji ya moto. Hupona vyenyewe
7. Kutokwa na vidonda vidogo mdomoni kwa ndani ambavyo uuma sana
8. Nywele kulegea na kupoteza ubora wake
9. Kutokwa na uvimbe kwenye kuta za kooni na hutoa vitu kama usaa ukichunguza kwa umakini
10. Kubadilika kwa harufu ya sehemu za siri na hata kunuka sana
11. Kupata UTI mara kwa mara
12. Kubanwa kifua na/ au shingo kwa muda na kuachia yenyewe baada ya muda fulani
13. Kuwashwa mwili hasa macho na usipojua unaweza kununua miwani au kubadili miwani kila siku
14. Tumbo kujaa gas au kushindwa kusaga baadhi ya vyakula kwa haraka mfano wali au chapati au chocolate
15. Miguu na mikono kubadilika ulaini na kuwa ngumu sana utafikiri una miiba mikononi na miguuni
Zipo nyingi sana ukikaa na mgonjwa wako vizuri na kirafiki atakueleza mambo 1,000 kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimejifunza kuwa Madaktari wa Tanzania hawaongei chochote kuhusu magonjwa kama vile;
1. Herpes simplex virus
2. Human papillomavirus infection (hpv)
Magonjwa haya kwa kiasi kikubwa sana yamewaadhiri Watanzania wengi na hasa watoto kupitia kwa wazazi na wazazi tokea kwa watoto mfano watoto kuambukizana mashuleni kama vile kushirikiana vitu kama kugawiana peremende toka mdomoni nk kisha wakifika nyumbani uwaambukiza watoto wenzao na hata wazazi wao, ndugu, jamaa wanaoishi nao kwa karibu.
Je kwanini msianze program maalum ya kuelimisha watu waziwazi maana hili janga ni kubwa sana na huu ugonjwa ni rahisi mno kusambaa au kuambukizana pengine kuliko magonjwa yote? Mwisho wa siku mgonjwa anaishia na kansa. Ebu fualitieni uone watu wana hali mbaya na sababu ya kutojua wanafikiri wamelogwa!
Watu wanateketea sana sana kwa kukosa maarifa toka kwa wataalamu. Si kila mgonjwa hapa anapata magonjwa haya kupitia ngono!
Dalili;
1. Mafua ya mara kwa mara
2. Kuumwa kichwa
3. Kubadilika rangi ya ngozi
4. Vipele vya ajabu ajabu kifuali, sehemu za siri, mgongoni nk
5. Kuwaka moto sehemu za siri na maumivu makali yasiyoeleweka
6. Kupata vitu kama vidonda ambavyo vipele vidogo vidogo vilivyojikusanya pamoja na baadae ubadilika kama mtu aliungua kwa maji ya moto. Hupona vyenyewe
7. Kutokwa na vidonda vidogo mdomoni kwa ndani ambavyo uuma sana
8. Nywele kulegea na kupoteza ubora wake
9. Kutokwa na uvimbe kwenye kuta za kooni na hutoa vitu kama usaa ukichunguza kwa umakini
10. Kubadilika kwa harufu ya sehemu za siri na hata kunuka sana
11. Kupata UTI mara kwa mara
12. Kubanwa kifua na/ au shingo kwa muda na kuachia yenyewe baada ya muda fulani
13. Kuwashwa mwili hasa macho na usipojua unaweza kununua miwani au kubadili miwani kila siku
14. Tumbo kujaa gas au kushindwa kusaga baadhi ya vyakula kwa haraka mfano wali au chapati au chocolate
15. Miguu na mikono kubadilika ulaini na kuwa ngumu sana utafikiri una miiba mikononi na miguuni
Zipo nyingi sana ukikaa na mgonjwa wako vizuri na kirafiki atakueleza mambo 1,000 kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app