Tumepokea taarifa yako mpendwa mtejaTANESCO TUMECHOKA KUNYANYASWA WAKAZI WA KIRUMBA MWANZA
HUKU KAMA KUNA MGAO NI BORA MNGETUFAHAMISHA,
NA KILA TUKIPIGA SIMU EMERGENCY TANESCO TUNAAMBIWA,,,”oohhhao ni ndege tu wamegusa nyaya,,Mara wanasema OHHH FACE ONE IMEKATA
HIVI MBONA TUKIPUNGUKIWA HATA SHILINGI HAMSINI KWENYE KUNUNUA LUKU HAMTUELEWI,,IWEJE MNATUNYANYASA HIVI KWA KUTUKATIA UMEME MARA MBILI KWA KILA SIKU????
Tumepokea taarifa yako mpendwa mteja wetuTANESCO Mimi nipo Dar es Salaam, Kimara, Korogwe karibu na baa maarufu hapa Korogwe iitwayo miti mitatu, au karibu na msikiti. Namba ya simu 0764086420.
Kwanza nasikitika sana kwa huduma mbovu niliyopata baada ya kupiga simu kwenu (Mbezi). Nilipokelewa simu na muhudumu wa kwanza nikaambiwa mafundi wanakuja japo nilinyimwa namba ya taarifa. nilisubiri siku nzima hawakuja. Nikapiga kesho yake ambayo ni jana kilichotokea ni kwamba nilipopiga namba ya airtel muhudumu akanipokea na kunipatia majibu ya ajabu sana na kunikatia simu. Nikarudia kupiga tena kama mara sita kila nikipiga muhudumu yule wa kiume anakata simu. nikaamua kubadili na kupiga namba ya tigo akapokea na pale alipogundua kuwa ni mimi akakata simu nikajaribu kupiga tena akawa anakata. kwakweli nilisikitika sana ikabidi tulale giza tu.
Tatizo nilionalo ni kwamba ni takiribani wiki moja sasa mara kwa mara kwangu umeme unakatika wakati majirani ambao tunashare nao laini moja ya umeme wanakuwa na umeme. Mpaka sasa ninapoandika sina umeme wakati jirani yangu ana umeme na wote tumechukulia kwenye nguzo moja. Hili tatizo limenisumbua sana. Naombeni mtume mafundi wenu waje kunisaidia. Pia boresheni huduma zenu za simu, tunapopiga simu kwenu tunatarajia kupata huduma na sio kuambulia matusi na huduma mbovu.
Je umefanikiwa kupata umeme wako mpe dwa mtejaHabari ya jioni Tanesco nimenunua umeme wa Tshs 9150 kwa mita namba 24212170070 kupitia NMB Mobile ,sasa ni Massa sita sijatumiwa token naomba msaada niko gizani
Sent using Jamii Forums mobile app
MatumiziTANESCO ebu niwekeni wazi, ni nini kinacho determine tariffs zenu? Je ni phase au unit consumption?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhama taarif ni mpaka uombe wewe unafikiri automatically inahamisha na ni mpaka waangalie average ya miezi 6.Mita no 04202904001 eneo la mwananyamala B , situmii umeme zaidi ya unit 50 kwa mwezi ila nikinunua umeme wa 3000 napata 8.50 KWH , kulikoni ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaifatilia mpendwa mtejaJuzi walidai ni ndege zinakanyaga waya wakakata tangia asubuhi hadi jioni
Jana walidai kuwa kuna mtu amenaswa na umeme wakakata kuanzia saa 11 jioni hadi saa 3 usiku,ili wamnasue huyo mtu
Leo wanadai wanakata miti wametukatia umeme tangia asubuhi saa 1 na hatujui utarud saa ngapi
HILI SWALA NI BORA TULIFIKISHE KWA
WAZIRI WA NISHATI,WAKAZI WA KIRUMBA MWANZA TUMECHOKA KUNYANYASWA NA UTENDAJI WA KATA UMEME TANESCO WILAYA YA ILEMELA MKOA WA MWANZA
Pamoja na hilo tunaomba Fuatilieni Pia Uyole Mbeya! Umeme kwa Siku unawaka si Zaidi ya saa 5 tu katika saa 24!