kilambo mdogo
New Member
- Sep 14, 2018
- 2
- 0
Nimelipia kuunganishiwa umeme tangia tarehe 04/06/2018 nguzo zimesimikwa trh 26/10/2018 kwa sasa ni mwezi zimesimikwa nguzo lkn sijaunganishiwa umeme mpaka sasa sijui tatizo nn na niliambiwa siku 90 za kazi nitaunganishiwa umeme msahada wenu tafadhari nipo Geita mjini.