TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Nimelipia kuunganishiwa umeme tangia tarehe 04/06/2018 nguzo zimesimikwa trh 26/10/2018 kwa sasa ni mwezi zimesimikwa nguzo lkn sijaunganishiwa umeme mpaka sasa sijui tatizo nn na niliambiwa siku 90 za kazi nitaunganishiwa umeme msahada wenu tafadhari nipo Geita mjini.
 
Umelipa kwa jina gani?tarehe na eneo gani tafadhali
DHAMBI YA KIBURI

"KIBURI" ni kati ya dhambi ngumu sana kujigundua kama unayo au la.

Na kwa sababu ya ugumu wa kujigundua, ndio maana imemaliza watu wengi na hata watumishi wazuri wa Mungu...

"Naweka hapa mambo kadhaa TUJIPIME SOTE KAMA TUNA DALILI ZA KIBURI AU LA"

1. Ukiona, KILA UKIONYWA UNAKASIRIKA NA KUNUNA AU KUSUSA, HIYO NI DALILI KUBWA SANA YA MTU MWENYE KIBURI.

- Yaani unaona karipio au onyo badala ya kuona tatizo lako, au hata ukiona tatizo lako huwezi kujizuia KUKASIRIKA AU KUNUNA UKIONYWA.

2. Ukiona, KILA MKIKOSANA NA MTU, HUONI KOSA LAKO, UNAONA MAKOSA YA MWINGINE TU, HIYO NI DALILI KUBWA SANA YA MTU MWENYE KIBURI.

- Kiburi siku zote NI KIDOLE KUKUONYESHA KOSA LA MWINGINE.

- Nilichojifunza, kwenye kila kwenye wawili au zaidi kukosana na kutokuelewana, kila mmoja ana mahali pa kujirekebisha, hakuna asiye na jambo la kujirekebisha

3. Ukiona, KILA UNALOFANYA, UNATAKA KUJILINGANISHA NA WENGINE, AU KILA WANACHOFANYA UNAJILINGANISHA NAO, HIYO NI DALILI KUBWA SANA YA MTU MWENYE KIBURI.

- Kiburi siku zote KINATAKA WEWE UJIONE UKO JUU YA WENGINE....
Wewe mzuri zaidi ya wengine... Msomi zidi ya... Una pesa zaidi ya... Unafundisha zaidi ya... Unahubiri zaidi ya... Unaomba zaidi ya...

Siku zote "Wahesabu wengine kuwa bora..."

4. UKIONA, KILA UNALOFANYA UNAFANYA KWA LENGO LA KUSHINDANA.

- Unafanya jambo zuri ndio, lakini Adhma (Motive) yako ni mashindano, hata kama hujasema hivyo...

- Unafanya ili kumshinda fulani hata kama fulani hajui, yaani utoshelefu wako wa ndani sio kutimiza jambo fulani, bali ni kugundua KWA KUTIMIZA HILO UMEMSHINDA FULANI

5. Ukiona, UNAPENDA KUSIFIWA KWA KILA UNALOFANYA, kwa lugha nyingine kuwa RECOGNIZED AND APPRECIATED.

- Kutambulika na kushukuriwa (to be recognized and appreciated) si jambo baya kabisa, lakini ukiona ukikosa hicho kitu unakosa amani kabisa na unatumia gharama yoyote utambulike na kushukuriwa, HICHO NI KIBURI KINAKUSUKUMA.

6. Ukiona, KILA ZURI UNALOLIFANYA SIRINI, UNATAKA LIJULIKANE NA WATU HATA KAMA SI MUHIMU KWAO na si kwa lengo la KUJIFUNZA, hiyo ni dalili ya KIBURI.

- Ukiomba, hauridhiki mpaka watu wajue uliomba, UKIFUNGA, mpaka watu wajue ulifunga au huwa unafunga, UKIFANYA JAMBO ZURI KWA MUNGU WAKO, mpaka watu wajue ndio unasikia kuridhika... Kinachokusukuma ndani ni KIBURI.

7. Ukiona, HAUKO HURU (COMFORTABLE) KABISA KUTUMIA LUGHA YA PAMOJA (tuta.., tume..) UNAPENDA ZAIDI KUTUMIA LUGHA YA BINAFSI (Nita.., nime.. ) UNAPOONGELEA MAMBO AU UMILIKI WA VITU, hiyo yaweza kuwa dalili ya KIBURI.

- Hupendi kutumia lugha kama, vitu vyetu, jambo letu, huduma yetu... Sisi... nk unapoongelea jambo ambalo na wengine wana mchango hata kama ni mdogo sana, hasa kama mwewe ni muanzilishi wa jambo au una mchango mkubwa juu ya jambo.

Kumbuka "KIBURI HUTANGULIA ANGUKO"

Lakini pia, "KIBURI HUTANGULIA MAUTI"

EE MUNGU UTUPONYE NA DHAMBI YA KIBURI.

NATUMAI UMEJIFUNZA KITU., UBARIKIWE NA BWANA.
 
DHAMBI YA KIBURI

"KIBURI" ni kati ya dhambi ngumu sana kujigundua kama unayo au la.

Na kwa sababu ya ugumu wa kujigundua, ndio maana imemaliza watu wengi na hata watumishi wazuri wa Mungu...

"Naweka hapa mambo kadhaa TUJIPIME SOTE KAMA TUNA DALILI ZA KIBURI AU LA"

1. Ukiona, KILA UKIONYWA UNAKASIRIKA NA KUNUNA AU KUSUSA, HIYO NI DALILI KUBWA SANA YA MTU MWENYE KIBURI.

- Yaani unaona karipio au onyo badala ya kuona tatizo lako, au hata ukiona tatizo lako huwezi kujizuia KUKASIRIKA AU KUNUNA UKIONYWA.

2. Ukiona, KILA MKIKOSANA NA MTU, HUONI KOSA LAKO, UNAONA MAKOSA YA MWINGINE TU, HIYO NI DALILI KUBWA SANA YA MTU MWENYE KIBURI.

- Kiburi siku zote NI KIDOLE KUKUONYESHA KOSA LA MWINGINE.

- Nilichojifunza, kwenye kila kwenye wawili au zaidi kukosana na kutokuelewana, kila mmoja ana mahali pa kujirekebisha, hakuna asiye na jambo la kujirekebisha

3. Ukiona, KILA UNALOFANYA, UNATAKA KUJILINGANISHA NA WENGINE, AU KILA WANACHOFANYA UNAJILINGANISHA NAO, HIYO NI DALILI KUBWA SANA YA MTU MWENYE KIBURI.

- Kiburi siku zote KINATAKA WEWE UJIONE UKO JUU YA WENGINE....
Wewe mzuri zaidi ya wengine... Msomi zidi ya... Una pesa zaidi ya... Unafundisha zaidi ya... Unahubiri zaidi ya... Unaomba zaidi ya...

Siku zote "Wahesabu wengine kuwa bora..."

4. UKIONA, KILA UNALOFANYA UNAFANYA KWA LENGO LA KUSHINDANA.

- Unafanya jambo zuri ndio, lakini Adhma (Motive) yako ni mashindano, hata kama hujasema hivyo...

- Unafanya ili kumshinda fulani hata kama fulani hajui, yaani utoshelefu wako wa ndani sio kutimiza jambo fulani, bali ni kugundua KWA KUTIMIZA HILO UMEMSHINDA FULANI

5. Ukiona, UNAPENDA KUSIFIWA KWA KILA UNALOFANYA, kwa lugha nyingine kuwa RECOGNIZED AND APPRECIATED.

- Kutambulika na kushukuriwa (to be recognized and appreciated) si jambo baya kabisa, lakini ukiona ukikosa hicho kitu unakosa amani kabisa na unatumia gharama yoyote utambulike na kushukuriwa, HICHO NI KIBURI KINAKUSUKUMA.

6. Ukiona, KILA ZURI UNALOLIFANYA SIRINI, UNATAKA LIJULIKANE NA WATU HATA KAMA SI MUHIMU KWAO na si kwa lengo la KUJIFUNZA, hiyo ni dalili ya KIBURI.

- Ukiomba, hauridhiki mpaka watu wajue uliomba, UKIFUNGA, mpaka watu wajue ulifunga au huwa unafunga, UKIFANYA JAMBO ZURI KWA MUNGU WAKO, mpaka watu wajue ndio unasikia kuridhika... Kinachokusukuma ndani ni KIBURI.

7. Ukiona, HAUKO HURU (COMFORTABLE) KABISA KUTUMIA LUGHA YA PAMOJA (tuta.., tume..) UNAPENDA ZAIDI KUTUMIA LUGHA YA BINAFSI (Nita.., nime.. ) UNAPOONGELEA MAMBO AU UMILIKI WA VITU, hiyo yaweza kuwa dalili ya KIBURI.

- Hupendi kutumia lugha kama, vitu vyetu, jambo letu, huduma yetu... Sisi... nk unapoongelea jambo ambalo na wengine wana mchango hata kama ni mdogo sana, hasa kama mwewe ni muanzilishi wa jambo au una mchango mkubwa juu ya jambo.

Kumbuka "KIBURI HUTANGULIA ANGUKO"

Lakini pia, "KIBURI HUTANGULIA MAUTI"

EE MUNGU UTUPONYE NA DHAMBI YA KIBURI.

NATUMAI UMEJIFUNZA KITU., UBARIKIWE NA BWANA.
Samahani, sio kusudio.
 
Uongozi wa taneaco jengeni utamaduni wa kukagua mindombinu yenu kila wiki.
Pia chunguzeni ongezeko la watu na kisha muimarishe huduma zenu kma vile kuongeza transfoma nk.
Kuna baadhi ya maeneo yameeongezeka watumiaji wa umeme kama vile liluvya-hondogo, kwa komba nk hivyo kupelekea kuzidiwa kwa transfoma na hivyo umeme kukosa nguvu, hili sio jambo la kusubiria mwambiwe rekebisheni, ongezeni transfoma mawneo hayo niliyo yataja ali watu wandeshe shughuli zao bila kikwazo. Maeneo hayo umeme hauna nguvu na haujatulia labisaaaa
 
Nyumba yangu iko mbali na laini ya umeme, nimeambiwa panaitajika nguzo mbili(2).je? Zile nguzo lazima nilipie na nguzo moja bei gani?
Niambieni gharama zote sh,ngapi?
#NAITAJIUKWELINIJUE
 
UMEME UMEKATIKA MUDA MREFU ENEO LA ILALA AMANA NA BUNGONI. KUNA NINI TUELEZENI NA TAUREJESHA SAA NGAPI KWANI KAZI ZINALALA.
 
TANESCO nahitaj mita Namba ya jirani yangu ili nijaze kwenye fomu!

maswali-je ni lazima nichukue mita Namba ya nyumba iliyo chini ya nyumba yangu?au cha msingi ni mita Namba ya Jiran yoyote?

je nisipoipata hiyo meter Namba kwa huyo Jiran ndo basi sitaruhusiwa kufungiwa umeme?
 
Ukishafungiwa mita mpya inachukua muda gani mpaka kuingizwa kwenye ile tarrif D1 kama matumizi yako hayazidi unit 75 kwa mwezi??
Maana kuna wengine wamefungiwa tangu Septemba mpaka leo bado wapo tarrif 1 tu
 
Ukibadilishiwa mita na kupewa mpya huku kwenye mita ya zamani kuna Units unatakiwa kufanya nini ili Units kwenye mita ya zamani ziingizwe kwenye mita mpya?
 
Ukibadilishiwa mita na kupewa mpya huku kwenye mita ya zamani kuna Units unatakiwa kufanya nini ili Units kwenye mita ya zamani ziingizwe kwenye mita mpya?
Huwa wanazirudisha, mie waliniuliza nikambia zilizopo, baada ya muda nikatumiwa tokens kuangalia ni zile zile
 
Hii tabia ya kukata kila siku inakera sana mnakata halafu ukirudi hauna nguvu mnatwaribia vitu
 
Tanesco msaada tafadhali,naishi boko dsm,umeme umekuwa unakata mara kwa mara nyumbani kwangu ila nyumba nyingine unakuwa upo,nimeita fundi wangu akacheki akadai circuit breaker ndio ina shida,kabadilisha lakini tatizo bado liko,nimecheki kwenye mita ya luku ukikatika kuna maneno 'Loc out'....naomba pia namba ya emergency upande huu
 
Gharama kwa miradi ya REA ni 27000 tu mingine ni 177000 vijijini na 321000 mijini kwa walioko ndani ya mita 30 kutoka kwenye nguzo ya TANESCO
Mhhh..juzi tu hapo nilimtembelea dada pale nziba alikuwa analalamika kaungiwa umeme Wa REA vijijini kwa laki sita, hii imekaaje hii!?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Kwanza napenda kuanza kwa kutoapongezi kwenu coz mmeboresha kwa asilimia kubwa Sana huduma zenu ktk jamii but na omba mchanganuo ktk 3% ya makato ya REA nikiasi gani kimekusanywa kwa Mwaka 2016/17 na matumizi yake kiujumla ahsante.
 
Mhhh..juzi tu hapo nilimtembelea dada pale nziba alikuwa analalamika kaungiwa umeme Wa REA vijijini kwa laki sita, hii imekaaje hii!?
umeme wa REA hakuna gharama ya Laki sita ndugu mteja,

je alivyotoa hio hela amepewa risiti yenye kiasi hicho?
 
Kwanza napenda kuanza kwa kutoapongezi kwenu coz mmeboresha kwa asilimia kubwa Sana huduma zenu ktk jamii but na omba mchanganuo ktk 3% ya makato ya REA nikiasi gani kimekusanywa kwa Mwaka 2016/17 na matumizi yake kiujumla ahsante.


asante sana kwa swali zuri sana, lakni tunapenda kukujulisha kuwa kiasi hicho hupelekwa moja kwa moja REA kwa ajili ya maendeleo umeme vijijini.
 
86 Reactions
Reply
Back
Top Bottom