Hii ni wiki ya pili hapa nchini umeme ukisua sua. Maeneo mengi nchini umeme unakatika hasubuhi saa 2 na kurudi jioni saa kumi na mbili. Hali kadharika maeneo mengine hushinda kutwa nzima ukiwepo na jioni saa kimi na mbili au saa moja hukatika. Hii ikimaanisha kuwa inakuwa zamu ya wale waloshinda bila umeme.
Hapa mjini Moshi Jana tulishinda nao na jioni saa moja ukakatika. Ulirudi usiku na saa mbili hasubuhi ya leo wameukata. mpaka sasa hatuna umeme.
Pengine na wewe msomaji unaweza luwa shahidi kwa ninayo yasema. Je kwenu mgao upo?
Huu unaweza kuwa mgao wa kimya kimya!!!
Watanzania bado hatujawa huru kiivo. Ado hatujajua kutafuta haki zetu. Maana mambo mengi tunaibiwa na kunyanyaswa. Kwa nini nasema haya?
Hembu fikiria watanzania wengi tunatumia ving'amuzi vya Television; na tunalipia gharama za kuangalia. Kuna wanaolipia kwa siku moja hadi siku saba yaani wiki; wengine hulipia kwa wili 2 ama tatu na wwngine hulipia kwa mwezi. Swali linakuja hivi; kama umeme unakuwa wa mgao kwa namna hii na watu wanaukosa kutwa nzima ama usiku mzima hata hawaanalii tarifa ya habari Je Kampuni za ving'amuzi huwaongezea muda au siku kwa maana kuna kutwa umeme haukuwepo na wateja wao hawajatumia?
Je sisi wateja tukatoe malalamiko kwenye hizo kampuni za ving'amuzi ili watufidie siku ambazo umeme haukuwepo?
Je tukaishitaki TANESCO kwa makampuni hayo ya Ving'amuzi?
My Take:
Kwa style hii ya ukisefu wa uwazi wa matumizi ya nishati ya umeme utaadhiri dhamira ya Mh. Rais ya kuwa na nchi ya Viwanda!
Hapa mjini Moshi Jana tulishinda nao na jioni saa moja ukakatika. Ulirudi usiku na saa mbili hasubuhi ya leo wameukata. mpaka sasa hatuna umeme.
Pengine na wewe msomaji unaweza luwa shahidi kwa ninayo yasema. Je kwenu mgao upo?
Huu unaweza kuwa mgao wa kimya kimya!!!
Watanzania bado hatujawa huru kiivo. Ado hatujajua kutafuta haki zetu. Maana mambo mengi tunaibiwa na kunyanyaswa. Kwa nini nasema haya?
Hembu fikiria watanzania wengi tunatumia ving'amuzi vya Television; na tunalipia gharama za kuangalia. Kuna wanaolipia kwa siku moja hadi siku saba yaani wiki; wengine hulipia kwa wili 2 ama tatu na wwngine hulipia kwa mwezi. Swali linakuja hivi; kama umeme unakuwa wa mgao kwa namna hii na watu wanaukosa kutwa nzima ama usiku mzima hata hawaanalii tarifa ya habari Je Kampuni za ving'amuzi huwaongezea muda au siku kwa maana kuna kutwa umeme haukuwepo na wateja wao hawajatumia?
Je sisi wateja tukatoe malalamiko kwenye hizo kampuni za ving'amuzi ili watufidie siku ambazo umeme haukuwepo?
Je tukaishitaki TANESCO kwa makampuni hayo ya Ving'amuzi?
My Take:
Kwa style hii ya ukisefu wa uwazi wa matumizi ya nishati ya umeme utaadhiri dhamira ya Mh. Rais ya kuwa na nchi ya Viwanda!