PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,222
tunataka umemeeeeee khaaa jamani hapa huduma tunalipia ingekua ni bure sijui ingekuajee
Naam ni kweli, hata mimi nimepata tatizo hili kwa siku tatu au nne sasa. LUKU inasumbuaLuku haipatikani na TANESCO hamtoi taarifa kwa Wateja kuhusu matengenezo mnayoyafanya na juhudi zenu kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili zimefika wapi. Kuweni wataarifu.
Pamevunjwa.Nenda ubungo
Huduma ya luku imesharejea na wateja wanafurahia umeme wa TanescoLuku haipatikani na TANESCO hamtoi taarifa kwa Wateja kuhusu matengenezo mnayoyafanya na juhudi zenu kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili zimefika wapi. Kuweni wastaarabu.
Mkuu tatizo la LUKU linatusumbua wengi, umeme haununuliki. Rekebisheni hilo tatizo nyie TANESCOUkiingiza inaandika nini
Hello! Nimenunua luku kwa T-shirt. 15,000/= leo asubuhi kwa m-pesa, mita namba 37135433441. Pesa ishakatwa lakini umeme sijapata hadi sasa, tatizo nini? Pia naombeni mshughulikie nahitaji umeme muda huu.Huduma ya luku imesharejea na wateja wanafurahia umeme wa Tanesco
Huduma imerudi mda gani ?Huduma ya luku imesharejea na wateja wanafurahia umeme wa Tanesco
Unadanganya wakati unajua si kweli mbona mimi nimeambiwa ni saa 8 mchana na wafanyakazi wenu? Kwa nini udanganye watumiaji?Huduma ya luku imesharejea na wateja wanafurahia umeme wa Tanesco
Waongo hawa hakijarudi kitu, MPESA,TIGO zimefeli, nimeenda kwa wakala hakuna kitu, DTB inafeli.Na katika sehemu gani umeme wa Luku unapatikana kwenye Mpesa, Tigo pesa au mobile bank
Hivi wewe unatufanya sisi wajinga eehHuduma ya luku imesharejea na wateja wanafurahia umeme wa Tanesco
Luku ipo vizuri kabisa